Skip to main content

Trump akwama Chicago


Mgombea uteuzi wa urauis kupitia chama cha Republic Donald Trump
Mgombea uteuzi wa urais kupitia chama cha Republic Donald Trump
Mkutano wa mgombea uteuzi wa chama cha Republic nchini Marekani Donald John Trump katika jimbo la Chicago umeahirishwa kufuatia maandamano.
Mkutano huo uliahirishwa kutokana na sababu za kiusalama baada ya bilionea Trump kukutana na maafisa wa usalama katika eneo hilo.
Mtu mmoja alichana tangazo la kampeni za Donald Trump
Mtu mmoja alichana tangazo la kampeni za Donald Trump mjini Chicago
Mamia ya waandamanaji hao wengi wao wenye asili ya Kiafrika na Kilatini walighadhabishwa na matamshi ya Trump kuwahusu wahamiaji nchini humo.
Wakosoaji wa Trump wameshutumu kwa kuchochea taharuki kwenye kampeini zake.
Mwandamaji mmoja Anthony Cage alipigwa baada ya kuibuka fujo baina ya wafuasi na wapinzania wa Trump mjini Chicago
Mwandamaji mmoja Anthony Cage alipigwa baada ya kuibuka fujo baina ya wafuasi na wapinzania wa Trump mjini Chicago
Mwaka 1968 ghasia zilikumba uteuzi wa chama cha Democrats katika jimbo hilo hilo ulioandaliwa wakati ambapo kulikuwa na mgawanyiko nchini humo kuhusu vita vya Vietnam.
Ni ghasia baina ya wafuasi na wapinzani wa Donald Trump mjini Windy City
Ni ghasia baina ya wafuasi na wapinzani wa Donald Trump mjini Windy City
Ghasia hizo zimejiri siku chache tu kabla ya kuandaliwa uteuzi wa mchujo katika majimbo ya Florida, Ohio, Illinois na Missouri tarehe 15 mwezi huu, huku Trump akiwa kifua mbele katika uteuzi wa chama cha Repiblican.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.