Skip to main content

Majaliwa ampa siku 8 DED kuhama gesti


Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa siku nane kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega, Hamis Yuna, kuhamia kwenye halmashauri hiyo kutokana na kuishi nyumba ya kulala wageni iliyopo wilaya jirani ya Magu.
Pia, Majaliwa ametoa siku 13 kwa watumishi wote wanaoishi Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, kuhamia wilaya hapa ifikapo Machi 15.
Akihutubia wakazi wa Kata ya Lamadi wilayani hapa jana, Majaliwa alisema hatapenda kumuona mtumishi kufanya kazi akitokea wilaya nyingine ilhali kuna nyumba nyingi za kutosha.
Alisema watumishi wanaoshindwa kuishi maeneo yao ya kazi, wanawakosesha huduma wananchi wanaotegemea.
Majaliwa alisema haiwezekani mtumishi kuishi wilaya nyingine na kufanya kazi kwingine na kwamba, muda mwingine hufunga mapema ofisi ili kuwahi usafiri.
“Nampa siku nane mkurugenzi kuhamia makao makuu ya wilaya hiyo na watumishi wote kufikia tarehe 15 wawe wamehamia hapa, mkuu wa wilaya utanijulisha kama wameshahamia ili tuje tuone aliyekataa kuhamia makao makuu ya wilaya tujue hatua za kuchukua,” alisema Majaliwa.
Tangu kuundwa kwa wilaya hiyo watumishi wengi wamekuwa wakiishi Wilaya ya Magu, kwa madai kuwa hakuna nyumba za kutosha.
“Nimetembelea na kuona makao makuu ya wilaya hii, kuna nyumba nyingi kiasi kwamba hakuna mtumishi ambaye ataweza kukosa kuishi, tukihamia hapa tutawahudumia wananchi vizuri tofauti na sasa tunafanya kazi ili kuwahi kuondoka,” alisema Majaliwa.
Majaliwa yupo kwenye ziara ya kwanza tangu Serikali ya Awamu ya Tano ichaguliwe, imeanzia Mkoa wa Simiyu baadaye anatarajiwa kwenda Mwanza, Geita na Kagera kukagua shughuli za maendeleo kutatua kero za wananchi.
Chanzo: Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...