Skip to main content

Majaliwa ampa siku 8 DED kuhama gesti


Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa siku nane kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega, Hamis Yuna, kuhamia kwenye halmashauri hiyo kutokana na kuishi nyumba ya kulala wageni iliyopo wilaya jirani ya Magu.
Pia, Majaliwa ametoa siku 13 kwa watumishi wote wanaoishi Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, kuhamia wilaya hapa ifikapo Machi 15.
Akihutubia wakazi wa Kata ya Lamadi wilayani hapa jana, Majaliwa alisema hatapenda kumuona mtumishi kufanya kazi akitokea wilaya nyingine ilhali kuna nyumba nyingi za kutosha.
Alisema watumishi wanaoshindwa kuishi maeneo yao ya kazi, wanawakosesha huduma wananchi wanaotegemea.
Majaliwa alisema haiwezekani mtumishi kuishi wilaya nyingine na kufanya kazi kwingine na kwamba, muda mwingine hufunga mapema ofisi ili kuwahi usafiri.
“Nampa siku nane mkurugenzi kuhamia makao makuu ya wilaya hiyo na watumishi wote kufikia tarehe 15 wawe wamehamia hapa, mkuu wa wilaya utanijulisha kama wameshahamia ili tuje tuone aliyekataa kuhamia makao makuu ya wilaya tujue hatua za kuchukua,” alisema Majaliwa.
Tangu kuundwa kwa wilaya hiyo watumishi wengi wamekuwa wakiishi Wilaya ya Magu, kwa madai kuwa hakuna nyumba za kutosha.
“Nimetembelea na kuona makao makuu ya wilaya hii, kuna nyumba nyingi kiasi kwamba hakuna mtumishi ambaye ataweza kukosa kuishi, tukihamia hapa tutawahudumia wananchi vizuri tofauti na sasa tunafanya kazi ili kuwahi kuondoka,” alisema Majaliwa.
Majaliwa yupo kwenye ziara ya kwanza tangu Serikali ya Awamu ya Tano ichaguliwe, imeanzia Mkoa wa Simiyu baadaye anatarajiwa kwenda Mwanza, Geita na Kagera kukagua shughuli za maendeleo kutatua kero za wananchi.
Chanzo: Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.