Skip to main content

Maalim Seif aeleza kilichomsibu


Maalim Seif Shariff Hamad akiwa katika Hospitali ya Hindu Mandal
Maalim Seif Shariff Hamad akiwa katika Hospitali ya Hindu Mandal
Siku moja baada ya kuugua ghala na kulazwa kwenye chumba cha uangalizi maalumu (ICU), katika Hospitali ya Hindu Mandal, Dar es Salaam, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema uchovu wa safari ni chanzo cha afya yake kuzorota.
Maalim Seif, ambaye jana aliruhusiwa kutoka hospitali, amesema alikuwa anasumbuliwa na uchovu wa safari, baada ya kutoka India, alikokuwa amekwenda kufanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo.
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo jana, Maalimu Seif alisema hali yake iko imara, baada ya kupatiwa vipimo hospitalini hapo.
“Niko fiti kama mnavyoniona, Ninaweza kutembea kutoka hapa hadi Kibaha,” alisema Maalim Seif.
Alisema wiki iliyopita alikuwa nchini India kwa ajili ya matibabu na alirejea nchini Ijumaa na kwenda moja kwa moja Zanzibar.
“Jana (juzi) wakati nikija jijini hapa kwa ajili ya ratiba zangu za vikao kwa jioni, nilianza kujisikia kizunguzungu tangu nikiwa airport (uwanja wa ndege). Nililazimika kupanda ndege hivyo hivyo, nilipofika Dar es Salaam, nililetwa moja kwa moja hadi hapa hospitalini,” alisema Maalim Seif.
Alisema kwa sasa anaendelea vizuri na kwamba alikuwa akitarajia kuruhusiwa kwenda nyumbani jana jioni.
“Ninawashukuru wananchi, Wazazibari na Watanzania wote na wale walioko nje ya nchi wameonyesha mapenzi makubwa kwangu. Kweli wananchi wana mahaba na mimi, kwani wapo waliosikia nimelazwa na kuanza kuzimia, naomba niwajulishe ninaendelea vizuri na leo nitaruhusiwa,” alisema.
Kwa upande wake, Daktari wa Maalim Seif, Omary Suleiman, alisema walikwenda India na kwamba Maalim Seif alifanyiwa upasuaji wa uti wa mgongo na kurejea salama nchini.
“Tulirudi Ijumaa tukaenda Zanzibar na wakati anarudi Dar es Salaam jana kwa ajili ya shughuli za ratiba ya kikazi jioni alishikwa na kizunguzungu lakini haikutuzuia kusafiri kwa sababu ya majukumu yake ya kikazi kwani alikuwa na vikao,” alisema.
Alisema uchunguzi uliofanywa na madaktari hakuna ugonjwa wa aina yoyote unaomsumbua bali ni uchovu na kwamba hali yake inandelea nzuri.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.