Skip to main content

PHD adai kubadilisha namba ya simu zaidi ya mara 50, mademu wanazidi kumsumbua

post-feature-image

Hemedy

Msanii wa filamu na muimbaji wa R&B, Hemedy PHD amesema usumbufu anaoupata kwenye simu yake ni...
Kim Kardashian ajitangaza kufanya mapenzi mara 500 kwa siku kwenye video promo ya kipindi chake
Wema Sepetu azua kihoja baada ya kutajiwa jina la Diamond Platnumz!
Wema Sepetu akanusha 'Ntampata Wapi' yake Diamond Platnumz kuwa aliimbiwa yeye, Msikilize hapa
Msanii wa filamu na muimbaji wa R&B, Hemedy PHD amesema usumbufu anaoupata kwenye simu yake ni mkubwa kiasi ambacho humfanya abadilishe namba za simu kila mara.

Hemedy ameiambia Bongo5 kuwa anashindwa kutambua watu hao wanaipataje namba yake na kuanza kumsumbua.
Nasumbuliwa sana mwanangu, dah mpaka noma, sijui hata nisemeje,” anasema Hemedy. “Meseji 600 kwa siku ni kitu cha kawaida. Sielewi tatizo ni nini, ukiona nalalamika hivi ujue naumia. Mpaka nikipigiwa huwa nafikiria kupokea simu. Mama yangu anapata usumbufu sana kwenye kusave namba yangu. Namba hii ni ya hamsini na moja tangu nianze sanaa 2008! Wanakuwa watu tofauti tofauti, lakini mademu ndo wanakuwa wengi.”

Katika hatua nyingine Hemedy amesema kuwa wazazi wake pamoja na ndugu zao wamemshauri yeye na mpenzi wake kukaa kwanza pamoja ili kuendelea kusomana tabia kabla ya kufunga ndoa.
Ndoa bado ipo, tena naweza sema ukaribu umeongezeka mara dufu. Lakini lakini kilichotokea ni suala la utayari kwa sababu kila mmoja anatakiwa awe tayari. Sasa watu wetu wa karibu pamoja na wazazi wametuambia ‘hebu jaribuni kufanya hivi, vuteni muda kidogo zaidi halafu tuone itakuwaje’ Pia hata mwanamke mwenyewe anahitaji kitu kidogo cha kutuhalalisha ila awe ni mke wangu.”.chanzo Bongo 5

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.