Skip to main content

PHD adai kubadilisha namba ya simu zaidi ya mara 50, mademu wanazidi kumsumbua

post-feature-image

Hemedy

Msanii wa filamu na muimbaji wa R&B, Hemedy PHD amesema usumbufu anaoupata kwenye simu yake ni...
Kim Kardashian ajitangaza kufanya mapenzi mara 500 kwa siku kwenye video promo ya kipindi chake
Wema Sepetu azua kihoja baada ya kutajiwa jina la Diamond Platnumz!
Wema Sepetu akanusha 'Ntampata Wapi' yake Diamond Platnumz kuwa aliimbiwa yeye, Msikilize hapa
Msanii wa filamu na muimbaji wa R&B, Hemedy PHD amesema usumbufu anaoupata kwenye simu yake ni mkubwa kiasi ambacho humfanya abadilishe namba za simu kila mara.

Hemedy ameiambia Bongo5 kuwa anashindwa kutambua watu hao wanaipataje namba yake na kuanza kumsumbua.
Nasumbuliwa sana mwanangu, dah mpaka noma, sijui hata nisemeje,” anasema Hemedy. “Meseji 600 kwa siku ni kitu cha kawaida. Sielewi tatizo ni nini, ukiona nalalamika hivi ujue naumia. Mpaka nikipigiwa huwa nafikiria kupokea simu. Mama yangu anapata usumbufu sana kwenye kusave namba yangu. Namba hii ni ya hamsini na moja tangu nianze sanaa 2008! Wanakuwa watu tofauti tofauti, lakini mademu ndo wanakuwa wengi.”

Katika hatua nyingine Hemedy amesema kuwa wazazi wake pamoja na ndugu zao wamemshauri yeye na mpenzi wake kukaa kwanza pamoja ili kuendelea kusomana tabia kabla ya kufunga ndoa.
Ndoa bado ipo, tena naweza sema ukaribu umeongezeka mara dufu. Lakini lakini kilichotokea ni suala la utayari kwa sababu kila mmoja anatakiwa awe tayari. Sasa watu wetu wa karibu pamoja na wazazi wametuambia ‘hebu jaribuni kufanya hivi, vuteni muda kidogo zaidi halafu tuone itakuwaje’ Pia hata mwanamke mwenyewe anahitaji kitu kidogo cha kutuhalalisha ila awe ni mke wangu.”.chanzo Bongo 5

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...