Skip to main content

Bendi ya BMM yaja kuteka soka la muziki wa dansi

Toto Zebingwa



BENDI mpya ya BMM inayoundwa na wanamuziki wa dansi imeanza kuja kwa kasi

na kupata heshima kubwa kwa wapenzi wa dansi, baada ya wiki iliyopita kuzinduliwa

kwa kishindo katika jiji la Dar es Salaam.

Bendi hiyo ilizinduliwa katika ukumbi wa Milenium Tower Kijitonyama,Dar es

Salaam ambapo inaundwa na mwanamuziki maarufu katika muziki huo Mule Mule

akisaidiwa na
mwanamuziki mwingine Toto Zebingwa ambao wote walipata kutamba vyema awali
katika bendi ya FM Academia.

Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo, Thadey Jochim Mwacha anasema  mapokezi ya

bendi hiyo katika hatua ya kwanza yameonesha hali kubwa ya mafanikio japo bado

wanajipanga zaidi.

"Niliweza kuona mageuzi wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo, ambapo wakazi wa jiji

walijitokeza kwa wingi,"anasema Mwacha .

Wanamuziki wanaounda bendi hiyo wanasema
wao wanataka kuleta hali mpya katika mapinduzi ya muziki wa dansi nchini kurejesha

heshima yake.

“Tunahitaji mwezi mmoja tu kutoka sasa, mtakuwa mmeelewa kila kitu kuhusu wapi

tunapoelekea muziki wa dansi upo kwenye mazingira magumu, lakini kwa sasa

unaanza kurudi mahali pake, tutahakikisha tunafanya kazi itakayokidhi soko la sasa,”

anasema kiongozi wa bendi hiyo.

Kutokana na mazingira ya muziki huo kwa sasa kuonesha kuporomoka kwa haraka,

bendi hiyo inaonesha inaweza kuwa na mafanikio mengine
yatakayoonesha tija kwa wakati huu.


Bendi hiyo inaonekana   imejipanga ambapo katika uongozi Toto Zebingwa ambaye

ni nyota katika bendi hiyo mpya ya   BBM  inayoongozwa  Mule Mule, anasema

mambo mazuri yanakuja.

Toto Zebingwa amemzungumzia  mkiongozi wake katika bendi hiyo,  ambapo

anasema anamkubali   Mule Mule  anayeongoza kwa kuwa ni mtu wake wa karibu na

pia bendi inamipango ya  kulitikisa jiji la Dar es Salaam na pia kurudisha heshima ya

muziki wa dansi.
Mule Mule

 Mwanamuziki huyo anasema kuwa  ndani ya muda mchache  ujao,  ukumbi wa New

Msasani  Club  walioanza kuutumia Jumapili iliyopita  kwa kufanya Bonanza, ndio

moja kwa moja  watakuwa wakiutumia.

Mwanamuziki huyo  anasema  bendi hiyo kabla ya uzinduzi rasmi, ilianza huku yeye

na Mule Mule wakishirikiana kwa mawazo kwa kiasi kikubwa na wamekuwa katika

urafiki wa kusaidiana katika changamoto nyingi  kwa takribani miaka 17 iliyopita.


"Tulianaza kuwafuata matajiri  wenye vyombo hivi vya muziki  tukawa tunafanya

mazoezi kwa takribani miezi mitatu mpaka walipo tuona tupo katika wakati mzuri  wa

kufanya makamuzi ndipo wakakubali tuanzishe bendi hii ya BBM,"anasema Totoo.

Anasema   aliamua kumwachia nafasi ya uongozi  wa juu  mwanamuziki Mule Mule

kutokana na kumuona  kama kaka yake waliopitia changamoto
nyingi katika maisha yao ya kimuziki.
 Tayari bendi hiyo wametoa nyimbo kama 'Watabiri' na wameusambaza na kupata mapokezi mazuri.

Bendi  hiyo imejipanga  kufanya makamuzi katika siku ya Ijumaa,  BBM Pub & Night Club iliyopo Mwenge na Jumamosi  bendi hiyo itakuwa ikifanya onesho lake Meeda  Sinza,Dar es Salaam ambapo kwa siku za Jumapili vinara wa bendi hiyo akiwemo

kiongozi wa bendi hiyo Mule Mule  watakuwa wakifanya shoo katika Bonanza lao New Msasani Club.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...