Skip to main content

Bendi ya BMM yaja kuteka soka la muziki wa dansi

Toto Zebingwa



BENDI mpya ya BMM inayoundwa na wanamuziki wa dansi imeanza kuja kwa kasi

na kupata heshima kubwa kwa wapenzi wa dansi, baada ya wiki iliyopita kuzinduliwa

kwa kishindo katika jiji la Dar es Salaam.

Bendi hiyo ilizinduliwa katika ukumbi wa Milenium Tower Kijitonyama,Dar es

Salaam ambapo inaundwa na mwanamuziki maarufu katika muziki huo Mule Mule

akisaidiwa na
mwanamuziki mwingine Toto Zebingwa ambao wote walipata kutamba vyema awali
katika bendi ya FM Academia.

Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo, Thadey Jochim Mwacha anasema  mapokezi ya

bendi hiyo katika hatua ya kwanza yameonesha hali kubwa ya mafanikio japo bado

wanajipanga zaidi.

"Niliweza kuona mageuzi wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo, ambapo wakazi wa jiji

walijitokeza kwa wingi,"anasema Mwacha .

Wanamuziki wanaounda bendi hiyo wanasema
wao wanataka kuleta hali mpya katika mapinduzi ya muziki wa dansi nchini kurejesha

heshima yake.

“Tunahitaji mwezi mmoja tu kutoka sasa, mtakuwa mmeelewa kila kitu kuhusu wapi

tunapoelekea muziki wa dansi upo kwenye mazingira magumu, lakini kwa sasa

unaanza kurudi mahali pake, tutahakikisha tunafanya kazi itakayokidhi soko la sasa,”

anasema kiongozi wa bendi hiyo.

Kutokana na mazingira ya muziki huo kwa sasa kuonesha kuporomoka kwa haraka,

bendi hiyo inaonesha inaweza kuwa na mafanikio mengine
yatakayoonesha tija kwa wakati huu.


Bendi hiyo inaonekana   imejipanga ambapo katika uongozi Toto Zebingwa ambaye

ni nyota katika bendi hiyo mpya ya   BBM  inayoongozwa  Mule Mule, anasema

mambo mazuri yanakuja.

Toto Zebingwa amemzungumzia  mkiongozi wake katika bendi hiyo,  ambapo

anasema anamkubali   Mule Mule  anayeongoza kwa kuwa ni mtu wake wa karibu na

pia bendi inamipango ya  kulitikisa jiji la Dar es Salaam na pia kurudisha heshima ya

muziki wa dansi.
Mule Mule

 Mwanamuziki huyo anasema kuwa  ndani ya muda mchache  ujao,  ukumbi wa New

Msasani  Club  walioanza kuutumia Jumapili iliyopita  kwa kufanya Bonanza, ndio

moja kwa moja  watakuwa wakiutumia.

Mwanamuziki huyo  anasema  bendi hiyo kabla ya uzinduzi rasmi, ilianza huku yeye

na Mule Mule wakishirikiana kwa mawazo kwa kiasi kikubwa na wamekuwa katika

urafiki wa kusaidiana katika changamoto nyingi  kwa takribani miaka 17 iliyopita.


"Tulianaza kuwafuata matajiri  wenye vyombo hivi vya muziki  tukawa tunafanya

mazoezi kwa takribani miezi mitatu mpaka walipo tuona tupo katika wakati mzuri  wa

kufanya makamuzi ndipo wakakubali tuanzishe bendi hii ya BBM,"anasema Totoo.

Anasema   aliamua kumwachia nafasi ya uongozi  wa juu  mwanamuziki Mule Mule

kutokana na kumuona  kama kaka yake waliopitia changamoto
nyingi katika maisha yao ya kimuziki.
 Tayari bendi hiyo wametoa nyimbo kama 'Watabiri' na wameusambaza na kupata mapokezi mazuri.

Bendi  hiyo imejipanga  kufanya makamuzi katika siku ya Ijumaa,  BBM Pub & Night Club iliyopo Mwenge na Jumamosi  bendi hiyo itakuwa ikifanya onesho lake Meeda  Sinza,Dar es Salaam ambapo kwa siku za Jumapili vinara wa bendi hiyo akiwemo

kiongozi wa bendi hiyo Mule Mule  watakuwa wakifanya shoo katika Bonanza lao New Msasani Club.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...