Skip to main content

Bendi ya BMM yaja kuteka soka la muziki wa dansi

Toto Zebingwa



BENDI mpya ya BMM inayoundwa na wanamuziki wa dansi imeanza kuja kwa kasi

na kupata heshima kubwa kwa wapenzi wa dansi, baada ya wiki iliyopita kuzinduliwa

kwa kishindo katika jiji la Dar es Salaam.

Bendi hiyo ilizinduliwa katika ukumbi wa Milenium Tower Kijitonyama,Dar es

Salaam ambapo inaundwa na mwanamuziki maarufu katika muziki huo Mule Mule

akisaidiwa na
mwanamuziki mwingine Toto Zebingwa ambao wote walipata kutamba vyema awali
katika bendi ya FM Academia.

Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo, Thadey Jochim Mwacha anasema  mapokezi ya

bendi hiyo katika hatua ya kwanza yameonesha hali kubwa ya mafanikio japo bado

wanajipanga zaidi.

"Niliweza kuona mageuzi wakati wa uzinduzi wa bendi hiyo, ambapo wakazi wa jiji

walijitokeza kwa wingi,"anasema Mwacha .

Wanamuziki wanaounda bendi hiyo wanasema
wao wanataka kuleta hali mpya katika mapinduzi ya muziki wa dansi nchini kurejesha

heshima yake.

“Tunahitaji mwezi mmoja tu kutoka sasa, mtakuwa mmeelewa kila kitu kuhusu wapi

tunapoelekea muziki wa dansi upo kwenye mazingira magumu, lakini kwa sasa

unaanza kurudi mahali pake, tutahakikisha tunafanya kazi itakayokidhi soko la sasa,”

anasema kiongozi wa bendi hiyo.

Kutokana na mazingira ya muziki huo kwa sasa kuonesha kuporomoka kwa haraka,

bendi hiyo inaonesha inaweza kuwa na mafanikio mengine
yatakayoonesha tija kwa wakati huu.


Bendi hiyo inaonekana   imejipanga ambapo katika uongozi Toto Zebingwa ambaye

ni nyota katika bendi hiyo mpya ya   BBM  inayoongozwa  Mule Mule, anasema

mambo mazuri yanakuja.

Toto Zebingwa amemzungumzia  mkiongozi wake katika bendi hiyo,  ambapo

anasema anamkubali   Mule Mule  anayeongoza kwa kuwa ni mtu wake wa karibu na

pia bendi inamipango ya  kulitikisa jiji la Dar es Salaam na pia kurudisha heshima ya

muziki wa dansi.
Mule Mule

 Mwanamuziki huyo anasema kuwa  ndani ya muda mchache  ujao,  ukumbi wa New

Msasani  Club  walioanza kuutumia Jumapili iliyopita  kwa kufanya Bonanza, ndio

moja kwa moja  watakuwa wakiutumia.

Mwanamuziki huyo  anasema  bendi hiyo kabla ya uzinduzi rasmi, ilianza huku yeye

na Mule Mule wakishirikiana kwa mawazo kwa kiasi kikubwa na wamekuwa katika

urafiki wa kusaidiana katika changamoto nyingi  kwa takribani miaka 17 iliyopita.


"Tulianaza kuwafuata matajiri  wenye vyombo hivi vya muziki  tukawa tunafanya

mazoezi kwa takribani miezi mitatu mpaka walipo tuona tupo katika wakati mzuri  wa

kufanya makamuzi ndipo wakakubali tuanzishe bendi hii ya BBM,"anasema Totoo.

Anasema   aliamua kumwachia nafasi ya uongozi  wa juu  mwanamuziki Mule Mule

kutokana na kumuona  kama kaka yake waliopitia changamoto
nyingi katika maisha yao ya kimuziki.
 Tayari bendi hiyo wametoa nyimbo kama 'Watabiri' na wameusambaza na kupata mapokezi mazuri.

Bendi  hiyo imejipanga  kufanya makamuzi katika siku ya Ijumaa,  BBM Pub & Night Club iliyopo Mwenge na Jumamosi  bendi hiyo itakuwa ikifanya onesho lake Meeda  Sinza,Dar es Salaam ambapo kwa siku za Jumapili vinara wa bendi hiyo akiwemo

kiongozi wa bendi hiyo Mule Mule  watakuwa wakifanya shoo katika Bonanza lao New Msasani Club.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.