Baada ya kuwa na stori tofauti kusamba kwenye mitandao ya kijamii,
imesemekana kuwa kwa sasa msanii wa mziki wa bongo fleva Baraka da
Prince hayuko tena na msanii wa filamu Tanzania Nisher ila anatoka na
msanii wa bongo Fleva Najma Aka Naj.
Haya ni maneno ya Barak Da Prince yaliyoambatana na Post ya kichwa cha mwanamke aliyelala naye.
Comments