Skip to main content

Msome Mjengwa anavyosema

Kwenye Nchi Ya Kusadikika Majipu Yanatumbuana Yenyewe..!


Ndugu zangu,
Nchi ya Kusadikika kamwe haiishiwi maajabu.
Wasadikika wamo kwenye mkanganyiko mkubwa ambao haujapata kutokea tangu kuundwa kwa taifa la Wasadikika.
Mwanafalsafa mashuhuri wa Nchi ya Kusadikika aitwaye Shaaban Robert alipata kubashiri mengi yanayotokea sasa kwenye Nchi Ya Kusadikika. Shaaban Robert miaka 80 iliyopita alipata kuelezea moja ya sifa za Wasadikika, kwamba hutafuta fimbo baada ya kuumwa na nyoka. Kwamba wanaweza kumwona nyoka lakini wasihangaike kutafuta fimbo ya kumpigia mpaka nyoka atawauma na kuwaachia sumu kali. Ndipo hapo Wasadikika hukumbuka fimbo.
Wasadikika wamempata kiongozi wao mkuu aliyeamua kupambana na nyoka wote wa Nchi Ya Kusadikika kabla hawajaleta madhara. Wasadikika wana hulka ya kuishi kwa mazoea, na hali hiyo mpya imewashangaza sana Wasadikika wengi, na hasa waposhuhudia majipu yakitumbuana yenyewe..!
Maggid,
Mwenyekiti wa Kitongoji Cha Kusadikika Kwenye Nchi Ya Kusadikika

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.