Skip to main content

Waraka halali wa Muungano utumike Bunge la Katiba


Na Salim Said Salim
WASWAHILI wana msemo maarufu unaoeleza kuwa mambo kangaja huenda yakaja. Sasa wakati waheshimiwa wetu wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya baadhi yao kutaka waongezwe posho ili watuwakilishe vizuri katika kuitafutia nchi yetu Katiba mpya wanatarajiwa kuanza kazi iliyowapeleka Dodoma wakati wowote kuanzia sasa.
Kama wataongezewa posho nawapa hongera kwa kudai ‘haki’ yao na kama watakosa nawapa pole kwa ‘kudhulumiwa’.
Tukumbuke kuwa miaka michache tu iliyopita kuzungumzia kuwepo kwa Jamhuri ya Tanganyika (aulizwe Mtikila kwa yaliyomkuta na kundi la G55 lilivyofungwa mdomo) na kutaka mfumo wa serikali tatu wa Muungano ilikuwa ni dhambi kubwa nchini kwetu.
Baadhi ya wale waliothubutu kutoa kauli hizo au kuonyesha ishara ya kutaka hivyo walipambana na joto ya jiwe na hata baadhi yao kuambiwa kuwa si raia wa nchi hii. Yale yalikuwa mambo ya unyanyasaji wa hali ya juu (nawaonea imani waliobuni uchafu ule).
Visa hivi vilipokuwa vinaendelea marehemu rafiki yangu na mwana habari maarufu aliyeiaga dunia miaka minne iliyopita, Ali Nabwa, alikuwa akisema wakati ule kuwa kilichohitajika ni subira na ipo siku itakuwa kweli.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.