Skip to main content

China na Taiwan zakutana rasmi kwa mara ya kwanza



CHINA_40f98.jpg
Mjumbe wa Taiwan akizungumza na waandishi habari
China na Taiwan leo(11.02.2014) zimefanya mazungumzo yao ya kwanza ya kiserikali tangu nchi hizo kutengana miaka 65 iliyopita baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ikiwa ni hatua muhimu ya kihistoria kwa mahasimu hao.
Mkutano huo ni ishara lakini tu lakini ni hatua muhimu ya kihistoria baina ya mahasimu hao wakubwa wa zamani.
Wang Yu-chi kutoka Taiwan , ambaye anahusika na sera za kisiwa hicho kuelekea China, alikutana na mwenzake wa China Zhang Zhijun mjini Nanjing katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku nne.
Huku kukiwa na masuala nyeti muhimu, chumba cha mkutano kilipambwa katika hali ya kawaida , hakuna bendera zilizoonekana na majina hayakuwapo katika meza ya mazungumzo kama ilivyokawaida kuwatambulisha wajumbe, ama hata vyeo vyao.
Kabla ya kuondoka , Wang aliwaambia waandishi habari: "Ziara hii haikuwa rahisi, ni matokeo ya mahusiano kati ya pande hizi mbili ya miaka kadha."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.