Skip to main content

Utawala wa Benadir watoa wito kwa raia kufanya kwa upande wao katika vita dhidi ya al-Shabaab





Na Osman Mohamud, Mogadishu
Kadiri maguruneti ya kurushwa kwa mota na mashambulio ya ulipuaji wa mabomu kifedhuli kumetisha wakaazi wa Mogadishu katika wiki za hivi karibuni, utawala wa Benadir umekuwa ukiongeza jitihada za kutokomeza uungaji mkono wa al-Shabaab kwa njia ya kujenga uelewa katika mji mkuu huo.
Wanamgambo wa ndani wakipiga doria soko la Hamar Weyne la Mogadishu tarehe 12 Februari, 2014. Utawala wa Benadir unashiriki katika jitihada za kuboresha ushirikiano baina ya raia na vikosi vya usalama katika mapigano dhidi ya al-Shabaab. [JM Lopez/AFP]
Utawala huo unatafuta kuboresha ushirikiano wa raia katika kupambana dhidi ya al-Shabaab wakati wa kampeni ndefu ya mwezi mmoja ya kujenga uelewa iliyozinduliwa tarehe 8 Februari. Programu hiyo inalenga kutoa mafunzo kwa watu 200 kutoka kila idara ya wilaya kutimiza jukumu hilo kwa kuwafikia umma katika vitongoji vyao na maeneo ya kazi.
Kama sehemu ya jitihada hizo, Gavana wa Benadir na meya wa Mogadishu Mohamud Ahmed Nur wanapanga kutembelea kila wilaya huko Mogadishu, wakitumia siku moja katika kila eneo kukutana na wakuu wa wilaya na wakaazi wa eneo hilo.
Katika moja ya mkutano katika wilaya ya Hawl Wadag Jumanne (tarehe 11 Februari), Nur alizungumza kwa uwazi kauli nzito dhidi ya al-Shabaab siku moja baada ya ulipuaji wa mabomu mawili katika mji mkuu huo ukilenga maofisa wa serikali.
Meya wa Mogadishu Mohamud Ahmed Nur (kulia) na mwimbaji wa Kisomali Hibo Nura wakiwa katika kampeni ya kujenga uelewa kwenye jengo la Plaza la Jiji tarehe 27 Septemba, 2013, ambapo walijadili hatari ya itikadi ya al-Shabaab. Nur anaendeleza jitihada za kutokomeza itikadi ya al-Shabaab huko Mogadishu pamoja na kampeni nyingine iliyozinduliwa Februari 2014. [Osman Mohamed/Sabahi]
"Ninashangaa kwa nini tunasikia kuwa wanachama wa al-Shabaab wanakamatwa na [vikosi vya usalama]," Nur alisema. "Vikosi vya usalama vinapaswa kuwatokomeza wakati huo huo na sababu yake ni kwa vile wamethibitisha umwagaji damu ya raia , na watu wawapige mawe hadi kufa."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.