Skip to main content

Je, haki itatendeka katika kesi inayomkabili Kenyatta ya uhalifu dhidi ya ubinadamu..?


Na Julius Kithuure, Nairobi
Huku kesi dhidi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai imeahirishwa kwa muda usiojulikana, watu wa Kenya wanatoa maoni mbalimbali kuhusu mwelekeo na namna nzuri ya kuona haki ikitendeka.
Mwandanamaji wa Kenya akiangalia picha za vurugu za baada ya uchaguzi wakati wa maandamano huko Nairobi mwaka 2011. [Simon Maina/AFP]
Ingawa kuna maoni tofauti, karibia kila mmoja ana kitu cha kusema kuhusu hili. Baadhi wanaunga mkono uahirishaji huo wa kesi hiyo, wakati wengine wanasema waendeshaji kesi wa ICC wanapaswa kustahimili. Wengine bado wanatoa wito kwa njia mbadala wa Kenya badala ya mahakama ya kimataifa.
Kesi dhidi ya Kenyatta katika ICC imekuwa na vizuizi mbalimbali kutoka ilipoanza, huku mashahidi mbalimbali wakiondoa ushahidi wao na madai kuwa ushahidi umechafuliwa na pande zote za kesi. Katika mwezi wa Disemba, Mwendesha Mashtaka wa ICC Fatou Bensouda alikiri kwamba hakuwa na ushahidi wa kutosha kumshtaki Kenyatta kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu wakati wa vurugu za baada ya uchaguzi mkuu wa 2007 hadi 2008, na mnamo tarehe 23 Januari timu ya waendesha mashtaka iliomba kuahirisha kesi hiyo kwa muda usiojulikana.
Kenyatta ana masuala 'muhimu zaidi' ya kuzingatia
Wanaomuunga mkono Kenyatta wasema uendeshaji mashtaka unakosa ushahidi mzito na kuondolewa kwa ushahidi muhimu kumedhoofisha kabisa kesi hiyo.

Picha iliyochukuliwa tarehe 8 Aprili, 2011, ikionyesha Naibu Waziri Mkuu wa Kenya na Waziri wa Fedha Uhuru Kenyatta wa wakati huo (wa pili kushoto) kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai. [AFP]
"Ni wazi kwamba sasa kesi dhidi ya raisi huyu ni yenye kasoro na yenye kiasi kidogo cha uuaji," mbunge wa Juja Francis Munyua Waititu aliiambia Sabahi. "Basi ni kwa nini rais apoteze nguvu zake, muda na rasilimali kwa suala ambalo halina kichwa wala mkia?"

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...