Skip to main content

Je, haki itatendeka katika kesi inayomkabili Kenyatta ya uhalifu dhidi ya ubinadamu..?


Na Julius Kithuure, Nairobi
Huku kesi dhidi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai imeahirishwa kwa muda usiojulikana, watu wa Kenya wanatoa maoni mbalimbali kuhusu mwelekeo na namna nzuri ya kuona haki ikitendeka.
Mwandanamaji wa Kenya akiangalia picha za vurugu za baada ya uchaguzi wakati wa maandamano huko Nairobi mwaka 2011. [Simon Maina/AFP]
Ingawa kuna maoni tofauti, karibia kila mmoja ana kitu cha kusema kuhusu hili. Baadhi wanaunga mkono uahirishaji huo wa kesi hiyo, wakati wengine wanasema waendeshaji kesi wa ICC wanapaswa kustahimili. Wengine bado wanatoa wito kwa njia mbadala wa Kenya badala ya mahakama ya kimataifa.
Kesi dhidi ya Kenyatta katika ICC imekuwa na vizuizi mbalimbali kutoka ilipoanza, huku mashahidi mbalimbali wakiondoa ushahidi wao na madai kuwa ushahidi umechafuliwa na pande zote za kesi. Katika mwezi wa Disemba, Mwendesha Mashtaka wa ICC Fatou Bensouda alikiri kwamba hakuwa na ushahidi wa kutosha kumshtaki Kenyatta kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu wakati wa vurugu za baada ya uchaguzi mkuu wa 2007 hadi 2008, na mnamo tarehe 23 Januari timu ya waendesha mashtaka iliomba kuahirisha kesi hiyo kwa muda usiojulikana.
Kenyatta ana masuala 'muhimu zaidi' ya kuzingatia
Wanaomuunga mkono Kenyatta wasema uendeshaji mashtaka unakosa ushahidi mzito na kuondolewa kwa ushahidi muhimu kumedhoofisha kabisa kesi hiyo.

Picha iliyochukuliwa tarehe 8 Aprili, 2011, ikionyesha Naibu Waziri Mkuu wa Kenya na Waziri wa Fedha Uhuru Kenyatta wa wakati huo (wa pili kushoto) kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai. [AFP]
"Ni wazi kwamba sasa kesi dhidi ya raisi huyu ni yenye kasoro na yenye kiasi kidogo cha uuaji," mbunge wa Juja Francis Munyua Waititu aliiambia Sabahi. "Basi ni kwa nini rais apoteze nguvu zake, muda na rasilimali kwa suala ambalo halina kichwa wala mkia?"

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.