Skip to main content

Msimamo wa CCM kuhusu Muungano wazua mjadala


BY RAPHAEL KIBIRITI
Wasomi na wanaharakati wametoa maoni tofauti kufuatia tangazo lililotolewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) juzi kuwa,wabunge wake wanaingia katika Bunge Maalumu la Katiba na ajenda ya kulinda na kutetea muundo wa Muungano wa serikali mbili.
Mhadhiri toka katika Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwalimu Bashiru Ally amesema, kimsingi mchakato mzima kuhusiana na suala hili la kupata katiba mpya ulikosewa toka mwanzo.
“Kwa kuwa muungano wetu ni wa nchi mbili zenye ukubwa tofauti lakini zilizo na hadhi sawa, tulipaswa kuwa na mjadala wa kitaifa kama maandalizi, kabla hata ya kuundwa kwa Tume ya Jaji Warioba ili tufikie maridhiano na maafikiano ya namna ya kuushughulikia mchakato huu,” alisema.
Alisema endapo hilo lingefanyika, kusingekuwa na haja ya wajumbe wa kuingia kwenye bunge maalumu kupatikana kwa kuteuliwa kama ilivyokuwa sasa, bali wangepatikana kwa kupigiwa kura na wananchi, hali ambayo ingewahakikishia maslahi yao.
Hata hivyo mwalimu Ally aliwaasa wananchi kuondokana na mawazo potofu kwamba, kitendo cha CCM kuwa na wajumbe wengi kwenye bunge maalumu la katiba, ni tiketi ya kupata katiba mbaya.
Naye Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Deus Kibamba alitofautiana na msimamo huo wa CCM, akisema kitendo hicho cha kutoa maelekezo kwa wabunge wake wachukue msimamo fulani wa kichama ni cha kulivuruga bunge maalumu kabla hata halijaanza.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.