Skip to main content

MAN U VS OLYMPIAKOS - UNITED HAWAJAWAHI KUFUNGWA NA TIMU KUTOKA UGIRIKI


man u fc5ad
Olympiakos wana matumaini ya kuharibu rekodi ya Manchester United FC dhidi ya timu za Ugiriki wakati watakapokutana katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora ya UEFA Champions League katika dimba la Stadio Georgios Karaiskakis.
• Mabingwa wa Uingereza hawahajwahi kupoteza mechi dhidi ya timu kutoka Ugiriki, lakini Olympiacos wapo kwenye kiwango kizuri na wanaweza kuiadhibu United..
Mechi zilizopita
• United wameshinda mechi zote nne zilizowahi kuwakutanisha na Olympiacos, ushindi wa kwanza ulikuwa 2-0 jijini Piraeus msimu wa 2001/02 katika mechi ya makundi, mabao ya David Beckham na Andrew Cole aliyefunga mawili. Kikosi cha Sir Alex Ferguson tena kikashinda 3-0 jijini Manchester Ole Gunnar Solskjær, Ryan Giggs na Ruud van Nistelrooy walifunga katika dakika 15 za mwisho. Roy Carroll, ambaye sasa anaichezea Olympiacos lakini hayumo katika kikosi cha UEFA Champions League, alikuwa benchi katika michezo yote miwili.
• Giggs amecheza mechi zote nne ambazo United imekutana na Olympiacos na kocha mchezaji huyo wa United, alikuja kufunga tena wakati United iliposhinda mabao 4-0 katika msimu wa 2002/03 kwenye makundi. Giggs alifunga mara mbili huku Solskjær na Juan Sebastián Verón nao waliziona nyavu.
• Olympiacos waliweza kuzigusa nyavu za United katika mchezo wa marudiano uliofanyika 23 October 2002. Wakiwa nyuma kwa mabao ya Laurent Blanc na Verón, Lampros Choutos na Predrag Djordjević wakaisawazishia Olympiacos lakini wakaja kufa dakika za mwisho na goli la Paul Scholes.
• Vikosi vilikuwa hivi:
Olympiacos: Eleftheropoulos, Anatolakis, Antzas, Venetidis, Patsatzoglou, Giannakopoulos (Mavrogenidis 87), Zetterberg (Ofori-Quaye 71), Karembeu, Djordjević, Giovanni (Choutos 46), Dracena.
Manchester United: Barthez, G Neville, Blanc, O'Shea, Silvestre, Beckham (Fortune 63), P Neville, Verón (Richardson 87), Giggs (Chadwick 63), Scholes, Forlán.
TAKWIMU
• Olympiacos wanatafuta ushindi wa 3 mfululizo katika dimba la nyumbani katika champiosn leahue msimu huu baada ya kushinda mechi dhidi ya Benfica na Anderlecht.
• United hawapoteza mechi msimu huu ugenini wakitoka sare na FC Shakhtar Donetsk na Real Sociedad de Fútbol na wakaifunga Bayer 04 Leverkusen 5-0 – katika ushindi wao wa mabao 5 katika UCL tangu mwaka 1965.
• Olympiacos wamepoteza mechi zao tano za hatua ya mtoano dhidi ya vilabu vya Uingereza katika michuano ya UCL. Hata hivyo, wameshinda mechi 3 nyumbani kwao dhidi ya timu za EPL - zote dhidi ya Arsenal.
• Rekodi ya Olympiacos dhidi ya vilabu vya EPLW5 D3 L3.
Habari za timu
Javier Saviola yupo nje kutokana kuwa na majeruhi ya paja aliyopata wikiendi, ingawa Nelson Valdez (enka) sasa amerudi. Giannis Maniatis, Iván Marcano, Delvin N'Dinga, Alejandro Domínguez na Michael Olaitan wote walipumzishwa jumamosi.
Jonny Evans (misuli) na Phil Jones hawajasafiri na timu kwenda Piraeus lakini wachezaji wote wameenda kasoro Juan Mata ambaye haruhusiwi kucheza michuano hii. Chanzo: shaffihdauda

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.