Skip to main content

MAN U VS OLYMPIAKOS - UNITED HAWAJAWAHI KUFUNGWA NA TIMU KUTOKA UGIRIKI


man u fc5ad
Olympiakos wana matumaini ya kuharibu rekodi ya Manchester United FC dhidi ya timu za Ugiriki wakati watakapokutana katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora ya UEFA Champions League katika dimba la Stadio Georgios Karaiskakis.
• Mabingwa wa Uingereza hawahajwahi kupoteza mechi dhidi ya timu kutoka Ugiriki, lakini Olympiacos wapo kwenye kiwango kizuri na wanaweza kuiadhibu United..
Mechi zilizopita
• United wameshinda mechi zote nne zilizowahi kuwakutanisha na Olympiacos, ushindi wa kwanza ulikuwa 2-0 jijini Piraeus msimu wa 2001/02 katika mechi ya makundi, mabao ya David Beckham na Andrew Cole aliyefunga mawili. Kikosi cha Sir Alex Ferguson tena kikashinda 3-0 jijini Manchester Ole Gunnar Solskjær, Ryan Giggs na Ruud van Nistelrooy walifunga katika dakika 15 za mwisho. Roy Carroll, ambaye sasa anaichezea Olympiacos lakini hayumo katika kikosi cha UEFA Champions League, alikuwa benchi katika michezo yote miwili.
• Giggs amecheza mechi zote nne ambazo United imekutana na Olympiacos na kocha mchezaji huyo wa United, alikuja kufunga tena wakati United iliposhinda mabao 4-0 katika msimu wa 2002/03 kwenye makundi. Giggs alifunga mara mbili huku Solskjær na Juan Sebastián Verón nao waliziona nyavu.
• Olympiacos waliweza kuzigusa nyavu za United katika mchezo wa marudiano uliofanyika 23 October 2002. Wakiwa nyuma kwa mabao ya Laurent Blanc na Verón, Lampros Choutos na Predrag Djordjević wakaisawazishia Olympiacos lakini wakaja kufa dakika za mwisho na goli la Paul Scholes.
• Vikosi vilikuwa hivi:
Olympiacos: Eleftheropoulos, Anatolakis, Antzas, Venetidis, Patsatzoglou, Giannakopoulos (Mavrogenidis 87), Zetterberg (Ofori-Quaye 71), Karembeu, Djordjević, Giovanni (Choutos 46), Dracena.
Manchester United: Barthez, G Neville, Blanc, O'Shea, Silvestre, Beckham (Fortune 63), P Neville, Verón (Richardson 87), Giggs (Chadwick 63), Scholes, Forlán.
TAKWIMU
• Olympiacos wanatafuta ushindi wa 3 mfululizo katika dimba la nyumbani katika champiosn leahue msimu huu baada ya kushinda mechi dhidi ya Benfica na Anderlecht.
• United hawapoteza mechi msimu huu ugenini wakitoka sare na FC Shakhtar Donetsk na Real Sociedad de Fútbol na wakaifunga Bayer 04 Leverkusen 5-0 – katika ushindi wao wa mabao 5 katika UCL tangu mwaka 1965.
• Olympiacos wamepoteza mechi zao tano za hatua ya mtoano dhidi ya vilabu vya Uingereza katika michuano ya UCL. Hata hivyo, wameshinda mechi 3 nyumbani kwao dhidi ya timu za EPL - zote dhidi ya Arsenal.
• Rekodi ya Olympiacos dhidi ya vilabu vya EPLW5 D3 L3.
Habari za timu
Javier Saviola yupo nje kutokana kuwa na majeruhi ya paja aliyopata wikiendi, ingawa Nelson Valdez (enka) sasa amerudi. Giannis Maniatis, Iván Marcano, Delvin N'Dinga, Alejandro Domínguez na Michael Olaitan wote walipumzishwa jumamosi.
Jonny Evans (misuli) na Phil Jones hawajasafiri na timu kwenda Piraeus lakini wachezaji wote wameenda kasoro Juan Mata ambaye haruhusiwi kucheza michuano hii. Chanzo: shaffihdauda

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...