Skip to main content

Hali ya kibinadam inaendelea kuwa mbaya-CAR



WANAWAKE_bb74a.jpg
Mashirika ya kutoa misaada yameonya kuwa endapo raia wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati ambao ni Waislamu, wataendelea kuihama taifa hilo, masoko ya nchi hiyo huenda yakasambaratika kabisa.
Mashirika ya kutoa misaada ya Oxam na lile la Action against hunger yamesema kuwa chini ya maduka kumi ya jumla ndiyo yalisosalia katika mji mkuu wa nchi hiyo na kuwa wafanyabiashara wengi wanaendelea kutoroka taifa hilo.
Kufuatia hali hiyo mashirika hayo yameonya kuwa hazina ya vyakula huenda ikapungua kwa kiasi kikubwa na kuwa bei ya vyakula huenda ikapanda zaidi.
Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa zaidi ya asilimia tisini ya rais wa nchi hiyo, wanaishi kwa kula chakula mara moja kwa siku na kuwa hali hiyo huenda ikawa mbaya zaidi.
Wamama walioathirika na vita mjini Bangui.
Taifa hilo limegawanyika zaidi kufuatia vita vilivyoanza mwaka uliopita kati ya Wakristu ambao ni wengi nchini humo na Waislamu kufuatia mapinduzi ya serikali.
Maelfu ya Waislamu tayari wametoroka nchini humo na kutafuta hifadhi katika mataifa jirani ya Cameroon na Chad.
Upungufu wa chakula
Kwa sasa kuna upungufu mkubwa wa nyama kwa sababu wafugaji wamekimbilia msituni na wakati wanapochinja mifugo wao, bei yake ni ghali mno.
Wengi wa Waislamu waliofukuzwa na Wakristu walikuwa wakichangia pakubwa katika uchumu wa taifa hilo.
T_f0028.jpg
Wanajeshi wa Ufaransa wakishika doria mjini Bangui.
Umoja wa Mataifa umesema kuwa huku ikiwa imesalia chini ya mwezi mmoja kabla ya msimu wa upanzi, zaidi ya asilimia tisini na sita ya wakulima hawana mbegu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...