Skip to main content

Kwa sasa Jezi za Mbeya City ghali kuliko za Simba, Yanga


 
JEZI ya Mbeya City ndiyo ya gharama kuliko zile za wakongwe Simba na Yanga, hii ni kwa mujibu wa mauzo ya mitaani.
Ukitaka jezi halisi ya Mbeya City utalazimika kulipa zaidi ya Sh15,000 ukiwa nje ya jiji la Mbeya, kwani jijini humo inapatikana kwa gharama hiyo katika duka lao.
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Mbeya City, Fred Jackson, jezi zao wanaziuza kwa bei ya Sh15,000 lakini hadi ikifika Dar es Salaam au mkoa mwingne wowote inaweza kugharimu hadi Sh25,000.
“Wapo wanaouza jezi zetu hadi Sh35,000, tumewakataza wasiuze kwa bei ya juu kiasi hicho, kwani wanawaumiza wananchi. Tuna tawi pale Ubungo Terminal (kituo cha mabasi ya mikoani cha Dar es Salaam) na huwa tunazipeleka huko,” alisema Fred.
Hata hivyo Mwanaspoti limeshuhudia jezi hizo halisi za Mbeya City zenye nembo ya timu zikiuzwa kwa Sh25,000 huku zile ambazo si halali zikiuzwa kwa Sh15,000.
Jezi za Simba, Azam na Yanga ambazo si halisi zenyewe zinauzwa kwa Sh10,000. Bado hakuna jezi halisi za Simba na Yanga zinazouzwa madukani au mitaani.
Tangu Mbeya City ilipoanza kwa kishindo Ligi Kuu Bara msimu huu ambao ndio wa kwanza kwao, jezi za timu hiyo zimegeuka dili ambapo mashabiki mbalimbali wamekuwa wakizinunua kwa wingi. Hata hivyo hali hiyo imetoa mwanya kwa wajanja kutengeneza jezi hizo na kuziuza kwa Sh15,000 zikiwa hazina nembo ya timu hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...