Skip to main content

Jamhuri ya Afrika ya Kati: Milio ya risase yautikisa mji wa Bangui

Wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) katika kata ya Boy-rabe, makao makuu ya wanamgambo wa anti-balaka, mjini Bangui, februari 19 mwaka 2014 ...
Wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) 
katika kata ya Boy-rabe, makao makuu ya 
wanamgambo wa anti-balaka, mjini Bangui,
 februari 19 mwaka 2014 ...
FRED DUFOUR/AFP
Na RFI
Milio ya risase za rashasha na miripuko ra roketi na gruneti imesikika mapema leo asubuhi karibu na uwanja wa ndege wa mjini Bangui, ambako waandamanaji wameweka vizuizi dhidi ya vikosi vya kimataifa, ameshudia muandishi wa AFP.
Risase zimerushwa hadi karibu na kambi ya wanajeshi wa Ufaransa wanaolinda eneo moja la uwanja wa ndege, na wako tayari kujibu mashambulizi yoyote dhidi yao, milio hiyo ya risase imesababisha watu kua na hofu katika maeneo jirani ya uwanja wa ndege.
Duru za kijeshi zinafahamisha kwamba milio hio inashukiwa kwamba huenda ni ufyatulianaji risae kati ya wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) na wanamgambo wa kundi la wa kristo la anti-balaka wanaoishi karibu na maeneo jirani na uwanja wa ndege.
Mamia ya watu wanaoishi katika kambi kubwa ya wakimbaizi wa ndani iliyo karibu na uwanja wa ndege, wamekimbilia sehemu ndege zinaegesha baada ya kutua, lakini wanajeshi wa Ufaransa wameingilia kati na kuomba watu hao kurejea kambini.
Makundi madogo madogo ya watu, ambao wamekua wakiandamana wakipinga operesheni ya wanajeshi wa Ufaransa dhidi ya wanamgambo wa kundi la ant-balaka, wameweka vizuizi kwenye barabara inayoelekea kwenye uwanja wa ndege.

Kwenye umbali wa mita zaidi ya mia moja na ua wa uwanja wa ndege, vijana kati ya 200 na 300wamekua wakipaza sauti wakilani operesheni (Sangaris) inayoendeshwa na wanajeshi wa Ufaransa na ile ya wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) pamoja na siasa ya viongozi wa srikali ya mpito.
Milio ya risase imesikika pia jana usiku hadi mapema leo asubuhi katika kata ya Boy-Rabe, makao makuu ya wanamgambo wa anti-balaka, na katika eneo la kaskazini mwa mji.
Moja kati ya mpango wa rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ni kuhakikisha usalama umerejea nchini, na alahidi kuanzisha vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la anti-balaka.
Mapigano hayo mapya yamesababisha ujumbe wa viongozi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa wanahirisha ziara ambayo wangeifanya leo jumatano katika mji wa Bossangoa ( kilomita 250 kaskazini magharibi na mji wa Bangui).

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.