Skip to main content

Jamhuri ya Afrika ya Kati: Milio ya risase yautikisa mji wa Bangui

Wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) katika kata ya Boy-rabe, makao makuu ya wanamgambo wa anti-balaka, mjini Bangui, februari 19 mwaka 2014 ...
Wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) 
katika kata ya Boy-rabe, makao makuu ya 
wanamgambo wa anti-balaka, mjini Bangui,
 februari 19 mwaka 2014 ...
FRED DUFOUR/AFP
Na RFI
Milio ya risase za rashasha na miripuko ra roketi na gruneti imesikika mapema leo asubuhi karibu na uwanja wa ndege wa mjini Bangui, ambako waandamanaji wameweka vizuizi dhidi ya vikosi vya kimataifa, ameshudia muandishi wa AFP.
Risase zimerushwa hadi karibu na kambi ya wanajeshi wa Ufaransa wanaolinda eneo moja la uwanja wa ndege, na wako tayari kujibu mashambulizi yoyote dhidi yao, milio hiyo ya risase imesababisha watu kua na hofu katika maeneo jirani ya uwanja wa ndege.
Duru za kijeshi zinafahamisha kwamba milio hio inashukiwa kwamba huenda ni ufyatulianaji risae kati ya wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) na wanamgambo wa kundi la wa kristo la anti-balaka wanaoishi karibu na maeneo jirani na uwanja wa ndege.
Mamia ya watu wanaoishi katika kambi kubwa ya wakimbaizi wa ndani iliyo karibu na uwanja wa ndege, wamekimbilia sehemu ndege zinaegesha baada ya kutua, lakini wanajeshi wa Ufaransa wameingilia kati na kuomba watu hao kurejea kambini.
Makundi madogo madogo ya watu, ambao wamekua wakiandamana wakipinga operesheni ya wanajeshi wa Ufaransa dhidi ya wanamgambo wa kundi la ant-balaka, wameweka vizuizi kwenye barabara inayoelekea kwenye uwanja wa ndege.

Kwenye umbali wa mita zaidi ya mia moja na ua wa uwanja wa ndege, vijana kati ya 200 na 300wamekua wakipaza sauti wakilani operesheni (Sangaris) inayoendeshwa na wanajeshi wa Ufaransa na ile ya wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) pamoja na siasa ya viongozi wa srikali ya mpito.
Milio ya risase imesikika pia jana usiku hadi mapema leo asubuhi katika kata ya Boy-Rabe, makao makuu ya wanamgambo wa anti-balaka, na katika eneo la kaskazini mwa mji.
Moja kati ya mpango wa rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ni kuhakikisha usalama umerejea nchini, na alahidi kuanzisha vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la anti-balaka.
Mapigano hayo mapya yamesababisha ujumbe wa viongozi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa wanahirisha ziara ambayo wangeifanya leo jumatano katika mji wa Bossangoa ( kilomita 250 kaskazini magharibi na mji wa Bangui).

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...