Skip to main content

Waziri Mkuu Awataka Wawekezaji Kurudi Kuwekeza Zimbabwe


Waziri Mkuu Zimbabwe Margan Tsvangirai amewataka wawekezaji kurudi kuwekeza katika nchi yake kutokana na uwepo wa amani katika nchi hiyo.Waziri Tsvangirai amesema Serikali yake imefanya kilajitiada kufanya mazungumzo ya mezani na vyama vya upinzani nchini humo ili kurudisha hali ya amani.
Bwana Tsvangirai alisema hali ya uchumi nchini humo iliporomoka kwa kasi kutokana na vurugu za uchaguzi uliopita hali iliyopelekea wawekezaji kuhamisha vitegauchumi vyao.Pia amezitaka jumuiya za kimataifa kuiondolea vikwazo nchi ya Zimbabwe kwani kwa kufanya hivo uchumi utakuwa kwa kasi na kusaidia vijana wengi kupata ajira kwa wawekezaji wapya.Hata hivyo Bwana Tsvangirai amesema imefika wakati kwa Waafrika kuweza kusimama yenyewe kwa kushirikiana kwa pamoja ili iweze kunufaika na rasilimali zake.
Alisema mkutano wa kujadili hali ya uchumi wa Afrika ni wakati muafaka wa kubadilishana mawazo ya jinsi mataifa ya magharibi yanatumia njia gani katika kuendeleza maendeleo ya mataifa yaoAkizungumzia Serilkali ya mseto katika nchi yake Bwana Tsvangirai alisema hali ya malumbano ni ya kawaida katika nchi yoyote duniani na anaamini umoja wa Serikali yao utafika mbali na upo kwa ajili ya manufaa ya Wazimbabwe.
Waziri Tsvangirai alisema kwasasa nchi ya Zimbabwe inanafasi nyingi za uwekezaji akitolea mfano sekta ya Kilimo na ambapo imekuwa ni tegemeo kubwa katika uchumi wa taifa hilo na kusema kuwa hali ya kisiasa kwa sasa ni shwari.
Bwana Tsvangirai alisema kuna marekebisho kadhaa ambayo Serikali yao inayafanya ambapo aliyataja baadhi ya kurekebisha sheria mbalimbali mfano sheria ya vyombo vya habari ambayo itawapa uhuru zaidi wanahabari ili kuwe na uchaguzi wa haki.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.