Skip to main content

Waziri Mkuu Awataka Wawekezaji Kurudi Kuwekeza Zimbabwe


Waziri Mkuu Zimbabwe Margan Tsvangirai amewataka wawekezaji kurudi kuwekeza katika nchi yake kutokana na uwepo wa amani katika nchi hiyo.Waziri Tsvangirai amesema Serikali yake imefanya kilajitiada kufanya mazungumzo ya mezani na vyama vya upinzani nchini humo ili kurudisha hali ya amani.
Bwana Tsvangirai alisema hali ya uchumi nchini humo iliporomoka kwa kasi kutokana na vurugu za uchaguzi uliopita hali iliyopelekea wawekezaji kuhamisha vitegauchumi vyao.Pia amezitaka jumuiya za kimataifa kuiondolea vikwazo nchi ya Zimbabwe kwani kwa kufanya hivo uchumi utakuwa kwa kasi na kusaidia vijana wengi kupata ajira kwa wawekezaji wapya.Hata hivyo Bwana Tsvangirai amesema imefika wakati kwa Waafrika kuweza kusimama yenyewe kwa kushirikiana kwa pamoja ili iweze kunufaika na rasilimali zake.
Alisema mkutano wa kujadili hali ya uchumi wa Afrika ni wakati muafaka wa kubadilishana mawazo ya jinsi mataifa ya magharibi yanatumia njia gani katika kuendeleza maendeleo ya mataifa yaoAkizungumzia Serilkali ya mseto katika nchi yake Bwana Tsvangirai alisema hali ya malumbano ni ya kawaida katika nchi yoyote duniani na anaamini umoja wa Serikali yao utafika mbali na upo kwa ajili ya manufaa ya Wazimbabwe.
Waziri Tsvangirai alisema kwasasa nchi ya Zimbabwe inanafasi nyingi za uwekezaji akitolea mfano sekta ya Kilimo na ambapo imekuwa ni tegemeo kubwa katika uchumi wa taifa hilo na kusema kuwa hali ya kisiasa kwa sasa ni shwari.
Bwana Tsvangirai alisema kuna marekebisho kadhaa ambayo Serikali yao inayafanya ambapo aliyataja baadhi ya kurekebisha sheria mbalimbali mfano sheria ya vyombo vya habari ambayo itawapa uhuru zaidi wanahabari ili kuwe na uchaguzi wa haki.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...