Julius Tindwa ambaye ni Kocha wa Manyara akipokea jezi kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Soka Arusha (ARFA) Khalifa Mgonja katika makabidhiano yaliyofanyika jana, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha. Wengine kulia ni Soud Abdi, Mjumbe wa Kamati ya Waamuzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), katikati ni Adam Brown, Katibu wa ARFA, kulia kabisa ni Goodluck Kway, Ofisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wadhamini wa Kili Taifa Cup kupitia bia ya Kilimanjaro Premium Lager
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments