Skip to main content

Watumishi wa Umma Wametakiwa Kufanya Kazi Kwa Bidii :Ilikuoingeza Ufanisi Kazini

Na Veronica Kazimoto – MAELEZO
Dar es SalaamWafanyakazi katika ngazi ya utumishi wa umma wametakiwa kufanya kazi kwa juhudi na maarifa ili kuboresha huduma ya utendaji kazi na hatimaye kufikia malengo ya utoaji haki kwa wananchi wote na kwa wakati muafaka.
Akisoma hotuba kwa niaba ya mwanasheria mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema wakati akifungua mkutano wa wajumbe wa baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali uliofanyika Dar es Salaam leo, amewaambia wafanyakazi hao kuwa juhudi na maarifa katika kazi ndio silaha muhimu katika kutekeleza majukumu ya utendaji kazi.
“Ili tuweze kupata mafanikio ni wazi kwamba kada zote za utumishi wa ndani ya ofisi hii zinapaswa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ili kuleta tija na ufanisi katika sehemu zetu za kazi,” Amesema Jaji Werema.
Jaji Werema ameliambia baraza hilo kuwa lina wajibu wa kutambua na kujadili vipaumbele vya Ofisi hiyo ili kuhakikisha kwamba fedha zinatengwa kwa majukumu na madhumuni ya kuboresha huduma na kuondoa kero za wananchi kwa ujumla.
“Wajumbe wa baraza la wafanyakazi mnapaswa kutoa miongozo na ushauri katika matumizi bora ya fedha zilizopangwa kwa kuzingatia vipaumbele pamoja na kutatua matatizo yanayojitokeza katika utekelezaji wa mambo yaliyo ndani ya uwezo wenu”, Ameongeza Jaji Werema.
Akizungumzia suala zima la uchaguzi, Jaji Werema amelikumbusha baraza hilo kuwa katika mwaka huu wa uchaguzi, Ofisi yake ina jukumu kubwa la kusimamia maandalizi ya uchaguzi, uchaguzi wenyewe na kesi zitakazotokea baada ya uchaguzi hivyo amelitaka baraza hilo kufanya kazi kwa bidii ili kufanikisha zoezi hilo la uchaguzi.
Jaji Werema amefafanua kuwa shughuli za uchaguzi zitaathiri bajeti ya Serikali kutokana na fedha nyingi kuelekezwa kwenye uchaguzi hali itakayosababisha Serikali kupunguza mgao wa fedha katika taasisi zake, hivyo amewataka wafanyakazi hao kuepuka matumizi yasiyo ya lazima ili kutekeleza majukumu ya msingi yanayotakiwa.
Aidha Werema ametoa wito kwa wafanyakazi hao kuyapa umuhimu masuala ya jinsia na ukimwi pamoja na kuepuka kuwanyanyapaa waathirika ili kuwafanya waishi maisha malefu na yenye furaha katika jamii na sehemu zao kazi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...