Skip to main content

Watumishi wa Umma Wametakiwa Kufanya Kazi Kwa Bidii :Ilikuoingeza Ufanisi Kazini

Na Veronica Kazimoto – MAELEZO
Dar es SalaamWafanyakazi katika ngazi ya utumishi wa umma wametakiwa kufanya kazi kwa juhudi na maarifa ili kuboresha huduma ya utendaji kazi na hatimaye kufikia malengo ya utoaji haki kwa wananchi wote na kwa wakati muafaka.
Akisoma hotuba kwa niaba ya mwanasheria mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema wakati akifungua mkutano wa wajumbe wa baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali uliofanyika Dar es Salaam leo, amewaambia wafanyakazi hao kuwa juhudi na maarifa katika kazi ndio silaha muhimu katika kutekeleza majukumu ya utendaji kazi.
“Ili tuweze kupata mafanikio ni wazi kwamba kada zote za utumishi wa ndani ya ofisi hii zinapaswa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ili kuleta tija na ufanisi katika sehemu zetu za kazi,” Amesema Jaji Werema.
Jaji Werema ameliambia baraza hilo kuwa lina wajibu wa kutambua na kujadili vipaumbele vya Ofisi hiyo ili kuhakikisha kwamba fedha zinatengwa kwa majukumu na madhumuni ya kuboresha huduma na kuondoa kero za wananchi kwa ujumla.
“Wajumbe wa baraza la wafanyakazi mnapaswa kutoa miongozo na ushauri katika matumizi bora ya fedha zilizopangwa kwa kuzingatia vipaumbele pamoja na kutatua matatizo yanayojitokeza katika utekelezaji wa mambo yaliyo ndani ya uwezo wenu”, Ameongeza Jaji Werema.
Akizungumzia suala zima la uchaguzi, Jaji Werema amelikumbusha baraza hilo kuwa katika mwaka huu wa uchaguzi, Ofisi yake ina jukumu kubwa la kusimamia maandalizi ya uchaguzi, uchaguzi wenyewe na kesi zitakazotokea baada ya uchaguzi hivyo amelitaka baraza hilo kufanya kazi kwa bidii ili kufanikisha zoezi hilo la uchaguzi.
Jaji Werema amefafanua kuwa shughuli za uchaguzi zitaathiri bajeti ya Serikali kutokana na fedha nyingi kuelekezwa kwenye uchaguzi hali itakayosababisha Serikali kupunguza mgao wa fedha katika taasisi zake, hivyo amewataka wafanyakazi hao kuepuka matumizi yasiyo ya lazima ili kutekeleza majukumu ya msingi yanayotakiwa.
Aidha Werema ametoa wito kwa wafanyakazi hao kuyapa umuhimu masuala ya jinsia na ukimwi pamoja na kuepuka kuwanyanyapaa waathirika ili kuwafanya waishi maisha malefu na yenye furaha katika jamii na sehemu zao kazi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.