
MGENI rasmi katika shindano la kumtafuta Vodacom Miss Arusha City
Center Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Eng. Raymond Mushi akizungumza
machache mara baada kutambulishwa na mkurugenzi wa Sophy Entertainment,
Sophia Urio ambaye alikuwa ni muandaaji wa shindano hilo.
Comments