Skip to main content

Jeshi la Polisi Tanzania la Ahidiwa Misaada Zaidi korea



IGP Said Mwema akihojiwa na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya jeshi hilo yaliyopo Wizara ya Mambo ya Ndani mara baada ya kusaini mkataba huo jana.

Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi DAR ES SALAA
,
Serikali ya Korea Kaskazini, imeahidi kulisaidia Jashi la Polisi hapa nchini katika Nyanja mbalimbli zikiwemo za mafunzo ya upelelezi dhidi ya makosa ya kigaidi na yale yatokanayo na wizi kupitia mifumo ya mitandao ya kompyuta.


Ahadi hiyo imetolewa na Mwakilishi wa Balozi wa Korea hapa nchini Bw. Jae Young Kim, wakati wa hafla fupi ya kulitiliana saini makubaliano hayo iliyofanyika Makao makuu ya Jeshi la Polisi Jijini Dar es Salaam.


Bw. Kim ambaye ni Afisa wa Ubalozi huo wa Korea kaskazini hapa nchini, amesema kuwa, kutokana na mabadiliko ya teknolojia na jitihada zinazoonyeshwa na Jeshi la Polisi nchini Tanzania katika kukabiliana na makosa mbalimbali Serikali ya Korea kupitia Kampuni ya Misaada kwa nchi za Kiafrika ya Koica, itasaidia kuwapatia elimu na ujuzi mbalimbali makachero wa Jeshi la Polisi ili kuwawezesha kukabiliana na mageuzi na mbinu mpya zinazotumiwa na wahalifu wa Kimataifa.


Katika hafla hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Koica, Bw. Sungsoo Oh, Mkuu wa Jeshi la Polisi hapa nchini Inspekta Jenerali Saidi Mwema, amesema kuwa kwa muda mrefu Jeshi lake limekuwa katika mchakato wa maboresho na kwamba misaada hiyo ya kimafunzo inakwenda sambamba na maboresho ya Jeshi hilo yanayoendelea hivi sasa.


Aidha IGP Mwema amewaagiza Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa na Wilaya, kuandaa mahitaji ya kimafunzo na kuyawasilisha kwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai nchini Kamishna Robert Manumba, ili taratibu za mchakato wa mafunzo hayo zianze mara moja.



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...