Skip to main content

Kamati ya Ushauri Kitaifa Juu ya Mistu Yateta Dar

Rasilimali za misitu zinakadiriwa kuchangia asilimia 2 hadi 3 kwenye pato la Taifa na zina umuhimu mkubwa sana hapa nchini kwa kuwa ni chanzo muhimu cha nishati inayotumika katika makazi yetu.

Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Maliasili na Utalii Shamsa Mwangunga wakati akizindua kamati ya kitaifa ya ushauri ya misitu iliyofanyika jijini Dar es Salaam ambapo amesisitiza kuwa misitu ni chanzo muhimu cha nishati, kwani asilimia 95 ya nishati hiyo hutokana na miti.

”Shughuli mbalimbali zinazofanywa katika maeneo mbalimbali ya misitu huchangia katika kuondoa umaskini miongoni mwa jamii ya Watanzania, iwapo haya yote yangeingizwa katika mahesabu ya pato la taifa mchango wa sekta ndogo ya misitu ungekuwa mkubwa kuliko kiwango kilichoainishwa hapo juu” Amesisitiza waziri Mwangunga.

Waziri Mwangunga amezindua kamati ya kitaifa ya ushauri ya misitu ambayo inaundwa na wajumbe 15 kutoka serikalini, vyuo vikuu, taasisi zisizo za kiserikali na sekta binafsi.

Uzinduzi huo umeenda sambamba na uteuzi wa mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa kamati hiyo ambapo Profesa Said Idd ambaye ni mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine ameteuliwa kuwa mwenyekiti na makamu mwenyekiti ni Bi Anna Maembe kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).

Kamati ya Kitaifa ya Ushauri ya Misitu inaundwa kwa mujibu wa Sheria ya Misitu Na 14 ya mwaka 2002 kifungu cha 10. Kazi za kamati kwa mujibu wa sheria hiyo ni kumshauri Waziri juu ya mambo yote yanayohusiana na ukodishwaji wa misitu, kutangazwa kwa hifadhi za misitu, usimamizi wa misitu ya hifadhi na mapitio ya sera ya misitu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...