
NI raha ya kufa mtu katika kuizimia mikito mashabiki wengi wanakubali kiwanja cha Club Masai
mvuto wa kupagawa toka kwa madj wakali ndio gumzo ya Club , Dj Victor akiangusha urefu wa shuguli katika kuporomosha burudani inayoambatana na track bomba .... jama ana maujanja ya kutatisha ilembayaaaaaaa.
Comments