Skip to main content

WASOMEA WAFANYAKAZI WA MAMBO YANDANI KUHUSU KUGOMA


Waziri wa Mambo ya Ndani Rawlence Masha
Na Mohammed Mhina na Seni Jilulu, wa Jeshi la Polisi DAR ES SALAAM
Wafanyakazi Raia wa Wizara ya Mambo ya Ndani wamesema hawatahusika na mgomo na kwamba wanaunga mkono kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kuvitaka vyama vya wafanyakazi nchini kuendelea na mazungunzo na Serikali kupitia upya madai yao.
Kauli hiyo imetolewa na Viongozi wa Chama cha Wafanyakazi vya wizara hiyo wakati wakizungumza kwenye mkutano uliotishwa na Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani Bw.Mubarack Abdullwakil, Mwenyekiti wa TUGHE Wizara ya Wambo ya Ndani Idara ya Polisi Bw.Alcado Nchinga amesema kimsingi wanaunga mkono kauli ya raisi ya kuendelea na mazunguzo ili kufikia muafaka ambao utaleta tija katika taifa.
Bw.Nchinga amesema wao kama vyombo vya kulinda usalama hawatangia katika mgomo kwani wasingependa kuona damu inamwagika kupitia mikononi mwao na wameahidi kulinda amani iliyopo hapa nchini kwa nguvu zote kwa manufaa ya watanzania wote. “Lazima tusikilize kauli ya Mh.Rais kwani ameahidi kushughulikia matatizo ya wafanyakazi.”Alisema Bw. Nchinga na kuongeza kuwa Wafanyakazi wote wa Wizara ya Mambo ya ndani kwa lengo la kumuunga mkono Mh.Rais Kikwete.
Kwa upande wake Katibu wa TUGHE Wizara ya Mambo ya Ndani Bw. Simon Isack Mjelu amesema madai yao ya msingi watandelea kudai ikiwa ni pamojana kupunguziwa kodi katika mishahara na kuongezwa mshahara ili kuendana na hali ya uchumi. Bw.Mjelu amesema hawaoni kwanini wagome na kusisitiza kuwa “muda wa ukifika tutajulishana hapa kwa kuomba ruhusa kwa katibu mkuu na kuwajulisha wanachama wote na kusisitiza kuwa tunaheshimu kauli ya Mh.raisi”.
Kwa upande wake Katibu wa TUGHE wa watumishi Raia wa Jeshi Polisi nchini Bw. Dolnad Lonungu, wamesema hawaungi mkono mgomo ama maandamano kwa vile wao ni viongozi waliopo ndani ya wizara nyeti kitaifa. Naye Mkurugenzi wa Idara ya Malalamiko Wizara ya Mambo ya Ndani BW.Augustine Shio amehoji “sisi nani kukataa amri ya rais” hivyo akasisitiza wafanya kazi wote kummunga mkono mh.
raisi na kukubaliana na kuendelea na majadiliano na serikali kwa kuwa serikali ni sikivu itashughulikia madai ya watumishi wake.
Naye Mkuu wa Utawala wa Jeshi la Polisi anayesimamia wafanyakazi Raia DCP Nevin Mashayo, amesema kauli ya raisi imeonyesha ukweli kwamba TUCTA walikubaliana na majadiliano na serikali hivyo amewataka wafanyakazi wote kufika kazini na kuedelea na majukumu yao kwa taifa.
Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Mambo ya ndani Bw.
Mubarack Abdullwakil, amewahimiza wafanyakazi wote wa wizara hiyo kuwahi kazini licha ya kwamba baadhi ya barabara zitafungwa kufuatia kutumika kwa wajumbe wa mkutano wa EWF.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...