Skip to main content

WASOMEA WAFANYAKAZI WA MAMBO YANDANI KUHUSU KUGOMA


Waziri wa Mambo ya Ndani Rawlence Masha
Na Mohammed Mhina na Seni Jilulu, wa Jeshi la Polisi DAR ES SALAAM
Wafanyakazi Raia wa Wizara ya Mambo ya Ndani wamesema hawatahusika na mgomo na kwamba wanaunga mkono kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kuvitaka vyama vya wafanyakazi nchini kuendelea na mazungunzo na Serikali kupitia upya madai yao.
Kauli hiyo imetolewa na Viongozi wa Chama cha Wafanyakazi vya wizara hiyo wakati wakizungumza kwenye mkutano uliotishwa na Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani Bw.Mubarack Abdullwakil, Mwenyekiti wa TUGHE Wizara ya Wambo ya Ndani Idara ya Polisi Bw.Alcado Nchinga amesema kimsingi wanaunga mkono kauli ya raisi ya kuendelea na mazunguzo ili kufikia muafaka ambao utaleta tija katika taifa.
Bw.Nchinga amesema wao kama vyombo vya kulinda usalama hawatangia katika mgomo kwani wasingependa kuona damu inamwagika kupitia mikononi mwao na wameahidi kulinda amani iliyopo hapa nchini kwa nguvu zote kwa manufaa ya watanzania wote. “Lazima tusikilize kauli ya Mh.Rais kwani ameahidi kushughulikia matatizo ya wafanyakazi.”Alisema Bw. Nchinga na kuongeza kuwa Wafanyakazi wote wa Wizara ya Mambo ya ndani kwa lengo la kumuunga mkono Mh.Rais Kikwete.
Kwa upande wake Katibu wa TUGHE Wizara ya Mambo ya Ndani Bw. Simon Isack Mjelu amesema madai yao ya msingi watandelea kudai ikiwa ni pamojana kupunguziwa kodi katika mishahara na kuongezwa mshahara ili kuendana na hali ya uchumi. Bw.Mjelu amesema hawaoni kwanini wagome na kusisitiza kuwa “muda wa ukifika tutajulishana hapa kwa kuomba ruhusa kwa katibu mkuu na kuwajulisha wanachama wote na kusisitiza kuwa tunaheshimu kauli ya Mh.raisi”.
Kwa upande wake Katibu wa TUGHE wa watumishi Raia wa Jeshi Polisi nchini Bw. Dolnad Lonungu, wamesema hawaungi mkono mgomo ama maandamano kwa vile wao ni viongozi waliopo ndani ya wizara nyeti kitaifa. Naye Mkurugenzi wa Idara ya Malalamiko Wizara ya Mambo ya Ndani BW.Augustine Shio amehoji “sisi nani kukataa amri ya rais” hivyo akasisitiza wafanya kazi wote kummunga mkono mh.
raisi na kukubaliana na kuendelea na majadiliano na serikali kwa kuwa serikali ni sikivu itashughulikia madai ya watumishi wake.
Naye Mkuu wa Utawala wa Jeshi la Polisi anayesimamia wafanyakazi Raia DCP Nevin Mashayo, amesema kauli ya raisi imeonyesha ukweli kwamba TUCTA walikubaliana na majadiliano na serikali hivyo amewataka wafanyakazi wote kufika kazini na kuedelea na majukumu yao kwa taifa.
Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Mambo ya ndani Bw.
Mubarack Abdullwakil, amewahimiza wafanyakazi wote wa wizara hiyo kuwahi kazini licha ya kwamba baadhi ya barabara zitafungwa kufuatia kutumika kwa wajumbe wa mkutano wa EWF.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.