Hali Ilivyokuwa Katika Motocar Jijini Dar wakati Mvua Zikiendelea Kunyesha Dar
USAFIRI wa Daladala ulivyo kuwa mgumu wakati wa mvua zinazoendelea kunyesha Jijini Dar es Salaam , baadhi ya wasafiri walilazimika kupigania kuingia katika Daladala(Motocar), Jijini Dar es Salaam.
Comments