Skip to main content

Uondo wa Usiku Groove Back na Leaders Club Jioni ya Leo

MATEO wapili kutoka kulia mdau mkubwa katika Groove Back akiwa na wazungu jana Usiku hapo Zhonghua Garden.
NI harakati za usiku mie Machibya na Babuu wa Kitaa katika Grove Back.



BABUU wa Kitaa kiwa na Romeo (Anayechati naSimu) uku akipiga stori kwenye disco kamambe la Jijini Dar es Salaam liitwalo Groove Back jana Usiku ambapo disco ilolilifanya mambo makubwa chini ya Dj Peter Moe na kila track iliyo poromoshwa ilionekana kupitia projecta mambo yalikuwa makubwa usiku wajana hapo kwenye ukumbi huo maarifu uitwao Zhohunghua Garden barabara ya Ali Hasan Mwinyi Dar es Salaam.
BABA Diana katikati akiwa na wanenguaji wa Bandi ya Twanga Pepeta muda mchache pale Viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam.

NI leo jioni katika Viwanja vya Leaders wakwanza kutoka kulia ni Kingkif namie Machibya , jioni ya leo kama kawaida yake bendi ya muziki wa Dansi ya Twanga Pepeta ilikuwa ikifanya makamuzi katika Bonanza lake la kila Jumapili katika viwanja hivyo.


NDANI ya Groove Back usiku wa jana, kutoka kushoto ni mie mmiliki wa blog nikiwa na Babuu wa Kitaa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.