Skip to main content

Rais wa Nigeria Afariki Dunia


Raisi wa Nigeria Umaru Yar'Adua (pichani) amefariki dunia siku ya Jumatano mwezi wa tano akiwa na miaka 58. Marehemu Yar'Adua alikuwa na matatizo ya moyo pamoja na figo.

Marehemu Yar'Adua atazikwa leo siku ya Alhamisi mchana katika kijiji cha Katsina nchini Nigeria.

Yar'Adua hakujushughulisha na mambo ya siasa tangu mwezi wa kumi na moja alipokuwa ameenda kutibiwa nchini Saudia Arabia. Alirudi chini Nigeria mwezi wa pili lakini alishindwa kuendesha shughuli za kiserikali kutokana na kuumwa.

Msaidizi wa Raisi Mh. Goodluck Jonathan atashikilia madaraka mpaka mwezi wa utakapofanyika uchaguzi mwingine mwezi wa nne 2011.

Marehemu Yar'Adua alikuwa ni msomi wa kwanza kutoka cho kikuu kuchukua madaraka, alishinda uchaguzi mwezi wa nne mwaka 2007.

Yar'Adua alipewa jina la "Baba Go-Slow", kutokana na utendaji wake wa kazi.

Historia yake.

Yar'Adua, alizaliwa katika mji wa Katsina mwezi wa nane tarehe 16 mwaka 1951, alikuwa muislamu.

Ametokea katika familia yenye kufuata mchakato wa kisiasa. Baba yake alikuwa waziri na kaka yake alikuwa mtu wa pili katika serikali ya Raisi Obasanjo's toka mwaka 1976 mpaka 1979.

Alisoma katika chuo kikuu cha Ahmadu Bello University Zaria kutoka mwaka 1972 mpaka 1975 masomo ya Chemist. Amesomea masomo ya MSc toka 1978-1980.

Alianza kusomesha Chemistry kabla ya kuingia katika biashara mwaka 1980s alikuwa mkurugenzi katika kampuni ya Sambo Farms Ltd katika mji wa Katsina.

Alichaguliwa kuungoza mji wa Katsina 1999 na kuchaguliwa tena kuongoza mji huo mwaka 2003. Maremu Yar'Adua alioa mwaka 1975 alijaaliwa kupata watoto saba.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.