Skip to main content

Rais wa Nigeria Afariki Dunia


Raisi wa Nigeria Umaru Yar'Adua (pichani) amefariki dunia siku ya Jumatano mwezi wa tano akiwa na miaka 58. Marehemu Yar'Adua alikuwa na matatizo ya moyo pamoja na figo.

Marehemu Yar'Adua atazikwa leo siku ya Alhamisi mchana katika kijiji cha Katsina nchini Nigeria.

Yar'Adua hakujushughulisha na mambo ya siasa tangu mwezi wa kumi na moja alipokuwa ameenda kutibiwa nchini Saudia Arabia. Alirudi chini Nigeria mwezi wa pili lakini alishindwa kuendesha shughuli za kiserikali kutokana na kuumwa.

Msaidizi wa Raisi Mh. Goodluck Jonathan atashikilia madaraka mpaka mwezi wa utakapofanyika uchaguzi mwingine mwezi wa nne 2011.

Marehemu Yar'Adua alikuwa ni msomi wa kwanza kutoka cho kikuu kuchukua madaraka, alishinda uchaguzi mwezi wa nne mwaka 2007.

Yar'Adua alipewa jina la "Baba Go-Slow", kutokana na utendaji wake wa kazi.

Historia yake.

Yar'Adua, alizaliwa katika mji wa Katsina mwezi wa nane tarehe 16 mwaka 1951, alikuwa muislamu.

Ametokea katika familia yenye kufuata mchakato wa kisiasa. Baba yake alikuwa waziri na kaka yake alikuwa mtu wa pili katika serikali ya Raisi Obasanjo's toka mwaka 1976 mpaka 1979.

Alisoma katika chuo kikuu cha Ahmadu Bello University Zaria kutoka mwaka 1972 mpaka 1975 masomo ya Chemist. Amesomea masomo ya MSc toka 1978-1980.

Alianza kusomesha Chemistry kabla ya kuingia katika biashara mwaka 1980s alikuwa mkurugenzi katika kampuni ya Sambo Farms Ltd katika mji wa Katsina.

Alichaguliwa kuungoza mji wa Katsina 1999 na kuchaguliwa tena kuongoza mji huo mwaka 2003. Maremu Yar'Adua alioa mwaka 1975 alijaaliwa kupata watoto saba.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...