Skip to main content

Tulichabo Gemu!!

SIO najifananisha na jamaa bali namuzimia msela huyu kwa mambo na hali ya ubishani.


ICE CUBE akiwa ameshika mikwanja .



Ice Cube
KUCHANANA KWENYE GEMU KUNALETA HESHIMA YA GEMU
HILI suala la kuchana kwenye 'gemu' kunaleta heshima kama hunaye unahufahamu naye vizuri unaye mchana .kwani gemu lina utoto mwingi wengi sasa ni machopima!!
Kama unamchana mtu mchane kiukweli inaleta heshima.Pac alikuwa akimchana mtu kimazima mazima imefika kipindi tuchanane ili heshima irudi kwani wengine huwa tuna sura za ukimwa hisiwe taabuuu.
Pac alishawi kumchana mtu akimwambia unafahamu ulikuwa unakuja kugonga hodi usiku tumelala na demu wangu mimi nashindwa kuamuka kukufungulia mlango ,demu wangu anaamuka kwa uruma anafungua mlango unaingia unalala sebuleni.
Hayani maneno ya mnyamwezi 2 Pac katika mazingira ya kubishana na mtuwake mmoja hata hivyo japokuwa mbishani wake aliishia kutukanaPack aliendelea kumtuliza mbishani wake kwenye gemu mpaka baasii , Pac alionesha utoto wa mjini mpaka mauti yakamfika.
Hakikisha unaye mbishia huwe unamfahamu vizuri ili akijifanya undumila kuwili unamwaga Ugali wake.



Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.