Skip to main content

Simba ya Twaa Ubingwa wa Bara Leo

MASHABIKI wakiwashangilia Simba kwa dakika za mwisho gari la wachezaji litoke Uwamjani.

MASHABIKI wa Simba wakiwa wamebeba Kombe la Ubingwa wa Soka leo katika Uwanja wa Taifa uku Hassan Dalali akiwasubilia kulichukua na kuondoka Uwanjani hapo.



MAEGESHO ya magari ya mashabiki walifurika kushuhudia vigogo vya Soka nchini timu za Simba na Yanga ambapo Msimbazi imeweza kuibuka na ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Yanga katika pambano lililo kuwa na msisimko mkubwa , lilikuwa la kuvutia na awali timu zilionesha kustaharabika na katika kipindicha pili mambo yalibadilia sana baada ya mchezo kuwa na kasi mpaka kufikia wachezaji wawili wa Yanga kutolewa kwa kadi nyekundu.





NI leo Uwanja wa Taifa wakwanza kutoka kilia ni mmiliki wa blog hii Machibya nilikuwa nikishuhudia bambano kati ya timu pinzani yanga na Simba ambapo mabao yalikuwa yanatinga kama nini.



HILI ni shazi la mashabiki waliofika Uwanja wa Taifa leo jioni.









GARI lilomchukua Mwenyekiti wa Simba Hassan Dalali akiwa na Kombe la Ubingwa .
















HALI ilivyokuwa nje ya Uwanja wa Taifa dakika chache kablya ya mechi kuchezwa.





















HILI ni nyomi la Mashabiki wakiingia kucheki pambano la watani wa jadi Simba na Yanga leo.

Comments