MASHABIKI wa wekundu wa Msimbazi , Simba walionekana kufulika kwa wingi katika Dimba la Uhuru wakati wa mchezo kati ya timu ya Lengthens ya toka Harare Zimbawe waliotolewa nje ya mashindano hayo katika Kombe la Shirikisho la Soka Afrika baada ya kukichezea kichapo.
Simba tayari itakutana tena na Mafaraowa Misri ambapo Wamisri sasa wanaitolea macho Simba katika Dua zao huko waliko.
Comments