Skip to main content

Tatiana Atua Bongo Kufanya Makamuzi ya Track Bongo!!

MWASTI akamua Track hii twayo I am gonna -Shine Akiwa na Tatiana AEGIES RECORDS.
Aliye simama ni Cheef Producer wa AEGIES RECORDS AITWAYE Ather K-D .
VIFAA vya kuchukulia picha vya MTV vikiwa sehemu ya mapokezi AEGIES RECORDS ni moja ya studio yenye sifa ya pekee nchini hapa kuna wanyamwezi wengi kutoka Ulaya waliokwisha record nyimbo hapa wakiwa na wasanii watanzania huwa wanaikubali kuanzia mandhari hadi ndani ya Studio ambayo ni mjengo mzima huu.



NIKONA watu maalum sana hapa ndani ya Studio za AEGIES RECORDS kulia ni Meneja wa Tatiana Alice Mtumba na Producer Gleela wa kutoka majuu mimi Machibya niko katikati Gleela aliye jishika sehemu ya sikio lake ni mtu mchangamfu sana na hata pozi hili alinielekeza nikae hivi .


KATIKATI ni Ather K- D Cheef Producer wa Studio ya AEGIES RECORDS akiwa na ujowa watu flani wa kwanza kutoka kushoto ni Alice Mutumba - Manager a Tatiana na wa kwanza kutoka kuliani Geela ambaye ni Producer wa mbele (Majuu) alisha fanya kazi na Kampuni kubwa ya Sony..

MTV walikuwa wakichukua picha za tukio la Tatiana .

HAPA ndi kwanza geti limefunguliwa Tatiana akingia AEGIES akiwa ndani ya gari la Ubalozi wa Angola .


TATIANA akitua AEGIES RECORDS.


NI leo Tatiana atinga kukamua AEGIES RECORDS studio iliyopo pande za Mikocheni Dar es Salaam majira ya saa 12 jioni leo , ilindilo get la studio hiyo.

MENEJA wa Tatiana Alice Mutumba akiwa pamoja na Prodyuza Geela ambaye utwanga mzingo mambele paia amesha fanya kazi nyingi akiwa na kampuni maarufu ya Sony leo alifanya kazi ya mikono yake katika maujanja hayo AEGIES RECORDS.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.