Skip to main content

Tatiana Atua Bongo Kufanya Makamuzi ya Track Bongo!!

MWASTI akamua Track hii twayo I am gonna -Shine Akiwa na Tatiana AEGIES RECORDS.
Aliye simama ni Cheef Producer wa AEGIES RECORDS AITWAYE Ather K-D .
VIFAA vya kuchukulia picha vya MTV vikiwa sehemu ya mapokezi AEGIES RECORDS ni moja ya studio yenye sifa ya pekee nchini hapa kuna wanyamwezi wengi kutoka Ulaya waliokwisha record nyimbo hapa wakiwa na wasanii watanzania huwa wanaikubali kuanzia mandhari hadi ndani ya Studio ambayo ni mjengo mzima huu.



NIKONA watu maalum sana hapa ndani ya Studio za AEGIES RECORDS kulia ni Meneja wa Tatiana Alice Mtumba na Producer Gleela wa kutoka majuu mimi Machibya niko katikati Gleela aliye jishika sehemu ya sikio lake ni mtu mchangamfu sana na hata pozi hili alinielekeza nikae hivi .


KATIKATI ni Ather K- D Cheef Producer wa Studio ya AEGIES RECORDS akiwa na ujowa watu flani wa kwanza kutoka kushoto ni Alice Mutumba - Manager a Tatiana na wa kwanza kutoka kuliani Geela ambaye ni Producer wa mbele (Majuu) alisha fanya kazi na Kampuni kubwa ya Sony..

MTV walikuwa wakichukua picha za tukio la Tatiana .

HAPA ndi kwanza geti limefunguliwa Tatiana akingia AEGIES akiwa ndani ya gari la Ubalozi wa Angola .


TATIANA akitua AEGIES RECORDS.


NI leo Tatiana atinga kukamua AEGIES RECORDS studio iliyopo pande za Mikocheni Dar es Salaam majira ya saa 12 jioni leo , ilindilo get la studio hiyo.

MENEJA wa Tatiana Alice Mutumba akiwa pamoja na Prodyuza Geela ambaye utwanga mzingo mambele paia amesha fanya kazi nyingi akiwa na kampuni maarufu ya Sony leo alifanya kazi ya mikono yake katika maujanja hayo AEGIES RECORDS.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...