Skip to main content

Mwenyekiti wa CCJ Augua Ghafla na Akimbizwa Hospitali

Piacha na habari Francis Dande.
Mwenyekiti wa Chama Cha Jamii (CCJ), Mh. Richard Kiyabo leo jioni ameugua ghafla na kukimbizwa katika kituo hicho kutokana na maumivu ya shingo pamoja na kifua kubanana Francis Dandewa Globu ya JamiiHALI ya afya ya Mwenyekiti wa Chama cha Jamii (CCJ), Mh. Richard Kiyabo imebadilika ghafla na kukimbizwa katika kituo cha Afya cha Dk. Hameer kilichopo maeneo ya Faya jijini Dar leo.
Akizungumzika hali yake huku akiwa kitandani Mwenyekiti huyo alisema kuwa afya yake ilianza kudhohofika leo na kukimbizwa katika kituo hicho majira ya saa tisa alasiri kutokana na kupata maumivu makali ya shingo pamoja na kifua kubana.
Aidha alisema kuwa hali hiyo inatokana na kuvamiwa na watu wanne majira ya saa tatu asubuhi na kisha kumkaba shingo na kumpora mkoba wake uliokuwa na kiasi cha sh. laki tano, Laptop pamoja na reja iliyokuwa na orodha ya majina ya wanachama wa chama hicho kwa upande wa Zanzibar.
Alisema kuwa kabla ya tukio la uporaji halijafanyika watu hao walimtisha na kisha kumtolea vitambulisho vilivyokuwa vikionyesha kuwa ni wafanyakazi wa Idara ya Usalama wa taifa. “Niliwaaambia kuwa kama nina makosa wanipeleka katika vyombo vya sheria lakini walizidi kunikaba”.
Mwenyekiti huyo amesema kuwa tukio hilo analihusisha na hujuma za kisiasa kutokana na mazingira yake na kuliomba jeshi la polisi kulinda raia wake na kufanya uchunguzi wa kina kujua waliohusika na tukio hilo ili sheria ifuate mkondo wake.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mwenyekiti huyo alisema kuwa: "Hata kama nikifa leo watanzania wasimtafute katika makaburi yaliyopakwa rangi nzuri ila wamtafute kwenye mioyo ya watanzania wanyonge milioni 40 walio mijini na vijijini, hali si nzuri sina hela hata mchana sijala,” alisema Mwenyekiti huyo na kuongeza kuwa watanzania wamchangie katika gharama za matibabu ambazo ni kubwa.
Daktari wa zamu Dk. Sombi Charles aliyekuwa akisaidiana na Dk. Nassor alisema kuwa katika kumfanyia uchunguzi wao walibaini kuwepo kwa matatizo katika shingo na kifua kutokana na kupata mgandamizo wa kitu chenye ncha butu kwenye shingo na kumsababishia matitizo katika mishipa ya fahamu.
“Hivi sasa tumempatia matibabu ya awali ili kupunguza maumivu aliyokuwa nayo wakati tukimsubiri mtaalamu wa mishipa ya fahamu (aliyemtaja kwa jina moja la Dk. Othman) afike ili kumfanyia uchunguzi wa kina ili kutoa tiba sahihi kwa mgonjwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...