Skip to main content

Mwenyekiti wa CCJ Augua Ghafla na Akimbizwa Hospitali

Piacha na habari Francis Dande.
Mwenyekiti wa Chama Cha Jamii (CCJ), Mh. Richard Kiyabo leo jioni ameugua ghafla na kukimbizwa katika kituo hicho kutokana na maumivu ya shingo pamoja na kifua kubanana Francis Dandewa Globu ya JamiiHALI ya afya ya Mwenyekiti wa Chama cha Jamii (CCJ), Mh. Richard Kiyabo imebadilika ghafla na kukimbizwa katika kituo cha Afya cha Dk. Hameer kilichopo maeneo ya Faya jijini Dar leo.
Akizungumzika hali yake huku akiwa kitandani Mwenyekiti huyo alisema kuwa afya yake ilianza kudhohofika leo na kukimbizwa katika kituo hicho majira ya saa tisa alasiri kutokana na kupata maumivu makali ya shingo pamoja na kifua kubana.
Aidha alisema kuwa hali hiyo inatokana na kuvamiwa na watu wanne majira ya saa tatu asubuhi na kisha kumkaba shingo na kumpora mkoba wake uliokuwa na kiasi cha sh. laki tano, Laptop pamoja na reja iliyokuwa na orodha ya majina ya wanachama wa chama hicho kwa upande wa Zanzibar.
Alisema kuwa kabla ya tukio la uporaji halijafanyika watu hao walimtisha na kisha kumtolea vitambulisho vilivyokuwa vikionyesha kuwa ni wafanyakazi wa Idara ya Usalama wa taifa. “Niliwaaambia kuwa kama nina makosa wanipeleka katika vyombo vya sheria lakini walizidi kunikaba”.
Mwenyekiti huyo amesema kuwa tukio hilo analihusisha na hujuma za kisiasa kutokana na mazingira yake na kuliomba jeshi la polisi kulinda raia wake na kufanya uchunguzi wa kina kujua waliohusika na tukio hilo ili sheria ifuate mkondo wake.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mwenyekiti huyo alisema kuwa: "Hata kama nikifa leo watanzania wasimtafute katika makaburi yaliyopakwa rangi nzuri ila wamtafute kwenye mioyo ya watanzania wanyonge milioni 40 walio mijini na vijijini, hali si nzuri sina hela hata mchana sijala,” alisema Mwenyekiti huyo na kuongeza kuwa watanzania wamchangie katika gharama za matibabu ambazo ni kubwa.
Daktari wa zamu Dk. Sombi Charles aliyekuwa akisaidiana na Dk. Nassor alisema kuwa katika kumfanyia uchunguzi wao walibaini kuwepo kwa matatizo katika shingo na kifua kutokana na kupata mgandamizo wa kitu chenye ncha butu kwenye shingo na kumsababishia matitizo katika mishipa ya fahamu.
“Hivi sasa tumempatia matibabu ya awali ili kupunguza maumivu aliyokuwa nayo wakati tukimsubiri mtaalamu wa mishipa ya fahamu (aliyemtaja kwa jina moja la Dk. Othman) afike ili kumfanyia uchunguzi wa kina ili kutoa tiba sahihi kwa mgonjwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.