ENEO hili kwa pembeni kuna ghora moja ndipo Bango hilo , namna kama hii ndiyo inaweza kuwafanya wasanii kuweza kupanda kimaendeleo kwani inawezekana akawa anamkataba mrefu na mnene , hali hii inaweza kuwapaisha wasanii kujikuta katika daraja jingine , ila licha ya kupata
chati ya namna hii 'AY' amekuwa ni msanii mwenye kujituma na kulinda umaarufu wake usidondoke tangu ajulikane katika ranani ya Bongofleva.
Na Mabango ya aina hii yapo karibia eneo kubwa la Dar .
Comments