Skip to main content

Kilomo kwanza ni Hoja Yenye Maswali Magumu ??

Semina ya TNGP naendelea kuwalushia hapa maelezo na mitazamo ya Jamii iliyoko mitaani
inayojadili mambo kibao kupitia Semina hii , inafunua mawazo , mitazamo nk.
Bango hili ndilo lenye kuleta matunda haya , soma hapo chini.
ONA mama huyo anavyoelezea kwa unyonge picha iliyochorwa na Mhindini Msamba kuhusu Sera ya Kilimo Kwanza uku vijana wakiwa nyuma wameshika picha hiyo kwa kuelekeza waliojili katika Semina hiyo.



KATIKA kuchangia semina hiyo utaratibu huwa hivi kila kundi lenye watu takrinbani watano hadi saba hivi , husimama na kujadili katika hadhira iliyofika katika semina hiyo kwa siku hiyo.


Kundi la tatu lidili na mchoro huo na kusema kuwa taswira ya picha ni hiyo katika tafakuri ni hii


Mkulima hapewe elimu ya kumiliki Shamba , kufundishwa kutumia miundo mbinu lasivyo Kilimo Kwanza itakuwa ni ajila ya watu wenye uwezo tu , kama si vyo hali kama hiyo bila kufundishwa kutumia miundo mbinu hiyo watakuwa wakimiliki mabebari na mkulima mdogo kutoguswa na Sera ya Kilimo Kwanza.

HAWA wako kwenye Semina iliyoendeshwa na TGNP Jumatano iliyopita , Mabobo Jijini Dar es Slaam ,Semina hiyo ilikuwa nzuri na uchambuzi wa mambo mabli mbali yausuyo jamii kubambanuliwa na michoro inayoonekana kuhusu ubambanuzi imechorwa na Muhidini Msamba anapatikana katika http://www.chikaputula@yahoo.com/ Kilimo kwanza mkulima mdogo hasipo wezeshwa kwanza itakuwa ni ukandamizaji hilo lilikuwa kundi la tatu lilo jadili kwa mtazamo waho huo katika iku ya Jumatano ya jua la jioni kuzama.




Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...