Skip to main content

Mahakama Nchini Kuendelea Kutumia Lugha ya Kiingereza

JAJI MKUU MH. AUGUSTINO RAMADHANI AMESEMA LEO MJINI IRINGA KWAMBA WAO MAHAKAMA KAMA TAASISI INAYOFUATA SHERIA
WATAFUATA MAELEKEZO KWA MUJIBU WA SHERIA ILIYOPO AMA ITAYOWEKWA NA SI KUFUATA WARAKA.
"SISI KAMA MAHAKAMA TUNAFANYA KAZI KWA KUFUATA SHERIA SIO WARAKA"ALISEMA JAJI MKUU, KWENYA HAFLA YA MASHINDANO YA
VITIVO VYA SHERIA VYA VYUO VIKUU ILIYOFANYIKA CHUO KIKUU CHA RUAHA.WIKI ILIYOPITA WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI NA MICHEZO MH. GEORGE MKUCHIKA ALITOA WARAKA BUNGENI KUTAKA KILA IDARA YA
SERIKALI KUENDESHA SHUGHULI ZAKE KWA KIMATUMBI, JAMBO AMBALO LILIPOKELEWA KWA HISIA TOFAUTI NA WADAU WENGI WAKISEMA
HII NI HATUA NZURI KUKUZA KISWAHILI.
WENGINE WAMEBEZA WARAKA HUO KWA KUSEMA UTAIFANYA TANZANIA KUBAKI KISIWA KWANI KWENYE MASUALA YA KIMATAIFA AMBAPO
KINATUMIKA KIMOMBO, NCHI HII ITAACHWA NYUMA.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.