HUU ndio mshumaa unaong'ara Club Masai Kinondoni anaitwa Dj TIX utamtaka babuu akiwa kwenye milazo , hapa ni jioni flani hivi blog ilimbamba eneo la Kino Dar es Salaam.
HAPA ilikuwa Usiku wa Pasaka alitoa maujanja ya kuweza kudatisha kila mmoja , mara kadhaa blog hii huwainapiga naye stori nyingi hata anapokuwa nje ya udj yaani katika anga za kila siku maeneo tofauti , ndiyehuyo aliyekenye mashine , katika usiku huo alifanya misuguo ile le.
Comments