Skip to main content

Mkataba ulioleta 'kizazaa' wakamilika

Wakwaza  kutoka kushoto ni Bosco Seti na wakatikani ni Lufingo na  wa mwisho ni Mzee Chillo



FILAMU ya Mkataba, ambayo awali iliyosababisha kupotea funguo za gari aina ya Toyota Hiace ya marehemu Steven
Kanumba, na kuleta 'kizazaa' tayari imekamilika.

Funguo hizo zilipotea wakati mdogo wake Kanumba, Bosket Seti alipokuwa akishiriki katika kurekodi filamu hiyo saa
6 usiku maeneo ya Kiwalani, Dar es Salaam.

Ujio wa filamu hiyo ya Mkataba, ambayo ilianza kurekodiwa Februari 18, mwaka huu ilizua kizazaa kwa ndugu wa
marehemu Kanumba waliposikia kwamba funguo za gari hilo zimepotea.

"Ilikuwa majira ya usiku, tukiwa katika kazi ya uchukuaji wa picha ya filamu ya Mkataba, maeneo ya Kiwalani
mara baada ya kumaliza kazi hiyo, Seti alitaka kuondoka ndipo alipogundua kuwa ameangusha fungu hizo.

"Tulijaribu kuutafuta ufunguo huo, bila mafanikio hali ambayo ilitulazimu kulala mpaka asubuhi  ndani ya
gari hilo ili kulichunga lisije likaibiwa," alisema Lufingo.

Alisema ilipofika asubuhi walilazimika tene kuutafuta ufunguo huo, bahati nzuri wakaupata.

Filamu ya Mkataba, inatarajiwa kuingia sokoni muda wowote kunzia sasa mara baada ya kukamilika.

Lufingo pia alishacheza
filamu nyingine kama Kisanduku, ambayo ndiyo ya kwanza kwake, pamoja na Pesa haramu ikiwa ya pili na ya
tatu ndiyo hii ya Mkataba, aliyowashirikisha wasanii wengine Dude, Mzee Jengua na Mzee Chillo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.