Skip to main content

Mkataba ulioleta 'kizazaa' wakamilika

Wakwaza  kutoka kushoto ni Bosco Seti na wakatikani ni Lufingo na  wa mwisho ni Mzee Chillo



FILAMU ya Mkataba, ambayo awali iliyosababisha kupotea funguo za gari aina ya Toyota Hiace ya marehemu Steven
Kanumba, na kuleta 'kizazaa' tayari imekamilika.

Funguo hizo zilipotea wakati mdogo wake Kanumba, Bosket Seti alipokuwa akishiriki katika kurekodi filamu hiyo saa
6 usiku maeneo ya Kiwalani, Dar es Salaam.

Ujio wa filamu hiyo ya Mkataba, ambayo ilianza kurekodiwa Februari 18, mwaka huu ilizua kizazaa kwa ndugu wa
marehemu Kanumba waliposikia kwamba funguo za gari hilo zimepotea.

"Ilikuwa majira ya usiku, tukiwa katika kazi ya uchukuaji wa picha ya filamu ya Mkataba, maeneo ya Kiwalani
mara baada ya kumaliza kazi hiyo, Seti alitaka kuondoka ndipo alipogundua kuwa ameangusha fungu hizo.

"Tulijaribu kuutafuta ufunguo huo, bila mafanikio hali ambayo ilitulazimu kulala mpaka asubuhi  ndani ya
gari hilo ili kulichunga lisije likaibiwa," alisema Lufingo.

Alisema ilipofika asubuhi walilazimika tene kuutafuta ufunguo huo, bahati nzuri wakaupata.

Filamu ya Mkataba, inatarajiwa kuingia sokoni muda wowote kunzia sasa mara baada ya kukamilika.

Lufingo pia alishacheza
filamu nyingine kama Kisanduku, ambayo ndiyo ya kwanza kwake, pamoja na Pesa haramu ikiwa ya pili na ya
tatu ndiyo hii ya Mkataba, aliyowashirikisha wasanii wengine Dude, Mzee Jengua na Mzee Chillo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...