Skip to main content

Mengi Avionya Vyombo vya habari


mengi2 ae168
MWENYEKITI wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi, amecharuka na kuvionya vyombo vya habarikuacha kutumika kujenga ajenda zinazohatarisha usalama wa raia na kubomoa amani iliyopo.

Pia amevitaka vyombo hivyo kuacha kutumiwa na wanasiasa mithili ya kondomu na kugeuka kuwa kioo cha wakubwa na wenye fedha badala ya kuwa kioo cha jamii.

Dk. Mengi alitoa onyo hilo jijini Dar es Salaam jana, wakati akifunga mdahalo uliohusu umuhimu wa waandishi wa habari kushiriki kulinda ya amani nchini.

Alisema vyombo vya habari, vinatakiwa kujichunguza kabla ya kuandika na kukuza mambo yanayohatarisha usalama wa nchi.

"Nchi yetu imejaliwa kuwa rasilimali nyingi sana, lakini amani

inapotoweka ina hatarisha usalama wa kila mwananchi, hakuna atakayepona, jambo la msingi tuache kulalamika tuchukue hatua.

"Tunapozungumza chanzo cha uvunjifu wa amani kwa mfano suala la vurugu za kidini kuhusu kugombania kuchinja, ni suala ambalo tunaweza kukuta lililetwa na mtu ambaye hata hayupo nchini, hapa tunahitaji kufanya uchunguzi wa suala hili tusipende kushupalia vitu ambavyo tunaona kabisa vinaweza kubomoa amani iliyopo.

"Hivi sasa vyombo vya habari, vimeanza kumeguka na kutumiwa na wakubwa na wenye nazo, hii ni hali ya hatari sana kwa nchi yetu, kwa sababu badala ya kuandika habari za wanyonge sasa zimebakia kuwandikwa habari za wakubwa pekee.

"Tunapaswa kuwa wazalendo... tukumbuke kuwa hawa watu wanalenga kuwatumia wandishi wa habari kama vile kondom, akishakutumia basi anakutupa," alisema.
Soma zaidi http://mtanzania.co.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=6713

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...