Skip to main content

Marekani yaongeza kasi ya vita Korea


Korea Kaskazini nayo inajiandaa kukabiliana na vita hivyo hatari vinavyotarajiwa kuanza muda wowote
Magari ya kivita yakiwa yameegeshwa katika mji wa Panju nchini Korea ya Kaskazini tayari kabisa kwa mashambulizi yanayotarajiwa kufanywa na Korea Kusini inayosaidiwa na Marekani.Picha na AFP
Washington. Marekani imepeleka ndege za kivita Korea Kusini kwa lengo la kusisitiza dhamira yake ya kuisaidia nchi hiyo.Imedaiwa kwamba msaada huo unaotolewa na Marekani kwa nchi hiyo ni msaada wa kijeshi dhidi ya vitisho vya Korea Kaskazini.
Ndege hizo aina ya F-22 zinadaiwa kupelekwa kwenye ngome ya kikosi cha anga huko Osan, ngome kuu ya kikosi cha anga cha Marekani nchini Korea Kusini. Hata hivyo, Marekani haijasema ilipeleka ndege ngapi za kivita Korea Kusini kutoka kwenye ngome yake ya kikosi cha anga cha Okinawa, Japan.
Wasiwasi uliongezeka tangu kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un kuamuru jaribio la silaha za nyuklia mwezi Februari, mwaka huu.
Wiki iliyopita Korea Kaskazini ilisema kuwa inaingia katika vita na Korea Kusini, katika mwendelezo wa vita vya maneno dhidi ya utawala mjini Seoul na Washington.
Hii ni baada ya kuwekewa vikwazo vya kimataifa kufuatia jaribio lake la silaha za nyuklia.Shirika la Habari la Korea Kaskazini KCNA, lilitoa taarifa inayosema kuwa kuanzia sasa, uhusiano wa Kaskazini na Kusini utaingia katika hali ya vita, na kwamba masuala yote yanayojitokeza kati ya pande hizo yatashughulikiwa ipasavyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...