Skip to main content

Kitengo cha kukabili ugaidi kuwasili mitaa ya Mogadishu


Na Adnan Hussein, Mogadishu
Serikali ya shirikisho ya Somalia imeunda na kukipa mafunzo kikosi maalumu cha askari kufanya operesheni dhidi ya ugaidi huko Mogadishu na kuzuia mipango ya al-Shabaab ya kulipua mabomu ya kujitoa muhanga kwa siku zijazo.
Askari wa Jeshi la Taifa la Somalia wakitembea wakati wa gwaride la jeshi tarehe 14 Aprili huko Mogadishu. Serikali ya shirikisho inaandaa kikosi maalum imara 1,000 waliopewa mafunzo kwa ajili ya operesheni dhidi ya ugaidi kusambazwa katika mji mkuu huo. [Na Stuart Price/AU-UN IST PHOTO/AFP]
Serikali inapanga kusambaza kikosi imara 1,000 ifikapo mwishoni mwa Aprili, kitakachojumuisha vikosi kutoka matawi kadhaa ya vikosi vya jeshi na vikosi vya usalama kwa mujibu wa Mohamud Ahmed Hirsi, meneja katika idara ya ugavi na usafirishaji wa watu na vitu wa Jeshi la Ulinzi la Somalia.
Kikosi hiki kitabomoa na kuharibu ngome za ugaidi na maficho, kuondoa kabisa operesheni zao na kutegua mabomu, katika jitihada za kurejesha amani na kanuni katika mji mkuu.
"Vikosi hivi vinawajibika kutafuta magaidi na wale wanaotuhumiwa kujihusisha katika operesheni za uuaji kwa sababu za kisiasa dhidi ya wahamasishaji amani, waandishi wa habari, polisi na maofisa wa jeshi," Hirsi aliiambia Sabahi. "Miongoni mwa malengo yake ni kushambulia vikundi vya kigaidi ambavyo vinafanya mauaji, wizi na kuiba mapato, pamoja na kuingilia mali binafsi, taasisi za serikali na migahawa."
Askari wa Jeshi la Taifa la Somalia wakishiriki katika mazoezi ya mafunzo tarehe 28 Machi katika kambi ya mafunzo ya Jazeera huko Mogadishu, mahali ambapo wakufunzi wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia wanaendesha vikosi vya Somalia kwa njia ya upangaji mpana wa ufundishaji askari na mbinu za kijeshi. [Na Tobin Jones/AU-UN IST PHOTO/AFP]
Baadhi ya vikosi kutoka katika kikosi kipya vitafanya doria kwenye maeneo ya mji ambako waasi wamejulikana kujificha, vikitekeleza hatua kali za ulinzi, Hirsi alisema. 
Vikosi vingine vitalinda usalama wa vituo vya ukaguzi vya kando ya barabara mahali pengine popote katika mji mkuu wakiwataka waendesha magari na pikipiki kuonyesha vitambulisho na kukabidhi magari yao kwa ukaguzi wa usalama.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...