Skip to main content

Historia fupi ya marehemu Steven Kanumba, mafanikio na kumbukumbu alizotuachia

 

Umepita mwaka sasa toka marehemu Steven Kanumba afariki Dunia 07.04.2012 kutokana na ugomvi uliotokea kati yake na mpenzi wake, Elizabeth Michael a.k.a Lulu. Iiyoandaliwa na mtandao wa Bongo Movies.

Alikuwa anajulikana zaidi kama “The great” kama mwenyewe alivyopenda kujiita. Jina lake halisi ni Steven Kanumba. Alikuwa mmoja wa waigizaji wakubwa sana ndani ya tasnia ya Bongo Movies.

Na Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania, hasa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini. 

Moja ya filamu zilizompa umaarufu sana kimataifa ni pamoja na Devil’s kingdom nyingine kama Dar 2 Lagos na Cross my sin. Alikuwa mmoja wasanii wenye uwezo mkubwa kifenda na utajiri wako ulikuwa unakadiriwa kuwa zaidi ya shillingi milioni 300 za kitanzania.

Early life:
Steven Kanumba alizaliwa tarehe 8 mwezi wa Kwanza mwaka 1984 huko shinyanga. Kwa kabila alikuwa ni msukuma. Alipata elimu yake ya awali katika shule ya msingi msingi ya Bugoyi, na kuendela na masomo ya sekondari huko Mwadui huko huko shinyanga na baadaye kuhamia katika shule ya sekondari ya Dar es salaam Christian Seminary akiwa kidato cha pili ambako alisoma mpaka kidato cha nne na akaendelea na masomo ya kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari ya jitegemee iliyopo Dar es salaam.

Career:
Kanumba alianza kuigiza toka alipokuwa shule ya msingi kabla ya kujiunga na kikundi cha kaole sanaa group miaka ya tisini. Akiwa kaole kanumba alikutana na walimu wa sanaa toka chuo cha sanaa bagamoyo na vyuo vingine ambako alipata mafunzo zaidi ya uigizaji na baadae alikutana na Dr. Nyoni toka Chuo kikuu cha Dar es Salaam ambako alweza pata mafunzo ya uigizaji kwa muda wa miezi mitatu.

Baada ya hapo kanumba alianza rasmi kuigiza filamu na filamu moja ya filamu zake za kwanza kuigiza zilikuwa sikitiko langu na Johari ambazo zilimpa umaarufu zaidi na kumuwezesha kufanya kazi nyingine mbalimbali ndani na nje ya nchi.

Steven kanumba alikuwa mmoja wa wasanii wa kwanza Tanzania kuweza kutembelea studi za filamu za Universal Studio pamoja na Warner bros zilizopo huko nchini Marekani. Pia kanumba alikuwa mtunzi wa nyimbo na alikuwa na uwezo wa kupiga vifaa vya muziki kama kinanda na gitaa

Kifo:
Steven Kanumba alifariki dunia tarehe saba (7) mwezi wa nne (4) mwaka 2012 baada ya kuanguka chumbani kwake kufuatia ugomvi baina yake na aliyekuwa mpezi wake Elizabeth Michel (LULU). 

Alifariki muda mfupi baada ya kufikishwa Hospitali ya taifa ya Muhimbili. Mazishi yake yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa nchi na umati unaokadiriwa kufikia watu elfu thelathini (30,000).

Tazama makala yake ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu atutoke. Inaelezea mafanikio yake na mipango aliyokua nayo kabla hajafariki Dunia. Tazama hapa.

Tutakukumbuka daima, Mungu akulaze mahala pema peponi, Steven Kanumba.
Ameen!!!

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...