Skip to main content

Historia fupi ya marehemu Steven Kanumba, mafanikio na kumbukumbu alizotuachia

 

Umepita mwaka sasa toka marehemu Steven Kanumba afariki Dunia 07.04.2012 kutokana na ugomvi uliotokea kati yake na mpenzi wake, Elizabeth Michael a.k.a Lulu. Iiyoandaliwa na mtandao wa Bongo Movies.

Alikuwa anajulikana zaidi kama “The great” kama mwenyewe alivyopenda kujiita. Jina lake halisi ni Steven Kanumba. Alikuwa mmoja wa waigizaji wakubwa sana ndani ya tasnia ya Bongo Movies.

Na Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania, hasa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini. 

Moja ya filamu zilizompa umaarufu sana kimataifa ni pamoja na Devil’s kingdom nyingine kama Dar 2 Lagos na Cross my sin. Alikuwa mmoja wasanii wenye uwezo mkubwa kifenda na utajiri wako ulikuwa unakadiriwa kuwa zaidi ya shillingi milioni 300 za kitanzania.

Early life:
Steven Kanumba alizaliwa tarehe 8 mwezi wa Kwanza mwaka 1984 huko shinyanga. Kwa kabila alikuwa ni msukuma. Alipata elimu yake ya awali katika shule ya msingi msingi ya Bugoyi, na kuendela na masomo ya sekondari huko Mwadui huko huko shinyanga na baadaye kuhamia katika shule ya sekondari ya Dar es salaam Christian Seminary akiwa kidato cha pili ambako alisoma mpaka kidato cha nne na akaendelea na masomo ya kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari ya jitegemee iliyopo Dar es salaam.

Career:
Kanumba alianza kuigiza toka alipokuwa shule ya msingi kabla ya kujiunga na kikundi cha kaole sanaa group miaka ya tisini. Akiwa kaole kanumba alikutana na walimu wa sanaa toka chuo cha sanaa bagamoyo na vyuo vingine ambako alipata mafunzo zaidi ya uigizaji na baadae alikutana na Dr. Nyoni toka Chuo kikuu cha Dar es Salaam ambako alweza pata mafunzo ya uigizaji kwa muda wa miezi mitatu.

Baada ya hapo kanumba alianza rasmi kuigiza filamu na filamu moja ya filamu zake za kwanza kuigiza zilikuwa sikitiko langu na Johari ambazo zilimpa umaarufu zaidi na kumuwezesha kufanya kazi nyingine mbalimbali ndani na nje ya nchi.

Steven kanumba alikuwa mmoja wa wasanii wa kwanza Tanzania kuweza kutembelea studi za filamu za Universal Studio pamoja na Warner bros zilizopo huko nchini Marekani. Pia kanumba alikuwa mtunzi wa nyimbo na alikuwa na uwezo wa kupiga vifaa vya muziki kama kinanda na gitaa

Kifo:
Steven Kanumba alifariki dunia tarehe saba (7) mwezi wa nne (4) mwaka 2012 baada ya kuanguka chumbani kwake kufuatia ugomvi baina yake na aliyekuwa mpezi wake Elizabeth Michel (LULU). 

Alifariki muda mfupi baada ya kufikishwa Hospitali ya taifa ya Muhimbili. Mazishi yake yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa nchi na umati unaokadiriwa kufikia watu elfu thelathini (30,000).

Tazama makala yake ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu atutoke. Inaelezea mafanikio yake na mipango aliyokua nayo kabla hajafariki Dunia. Tazama hapa.

Tutakukumbuka daima, Mungu akulaze mahala pema peponi, Steven Kanumba.
Ameen!!!

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.