Skip to main content

Mafanikio yenye mvuto kwa wasanii wa Vichekesho Bongo kutoka kwa WILL SMITH ambaye ni mme wa JADA PINKETT SMITH .

Will Smith ambaye alizaliwa September 25, 1968, ambaye aliwahi kuwa  muigizaji wa
kipindi cha The fresh Prince ,akiwa mchekeshaji mbali na fani hiyo alikuwa
pia rapper mwenye mvuto maarufu sana nchini marekani.


Mnamo mwaka 1992 alimuoa Sheree Zampino walifanikiwa kupata mtoto mmoja Trey
Smith ambaye ni mcheza Basket maarufu nchini marekani. Wadau mtakuwa mnajua vema
inshu hii kwani jamaa  aliachana na Sheree mnamo mwaka 1995.

Na baadaye alifanikiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na na kuhamua kuoana na Jada
Pinket mnamo mwaka 1997 na katika ndoa yao wamefanikiwa
kupata watoto wawili ambao ni Jaden Smith na Willow Smith ambao nao wanachanja
mbuga katika  fani walizorithi kwa wazazi wao.

Jaden Smith amezaliwa July 8, 1998 ni mcheza filamu mzuri tuu anayechipukia na
filamu alocheza ni ''karate kid'' wadau mnaohusudu fani ya ucheshi , kama
utaikumbuka mdau au kama hujaiona itafute .

Ni kati ya  sinema nzuri sana akiwa sambamba na Jackie Chan.
Willow Smith alizaliwa October 31, 2000 ,mwenye umri wa miaka 11 hadi mnamo mwezi
wa 10/2012 anatimiza 12, ameonesha kipaji chake cha kuimba na  ni mwanamuziki
anayechipukia ambae alishatoa ngoma ikapokelewa poa sana, na ata hapa Bongo
ilipokelewa poa ikiitwa jina la  ''whip my hair''na pia amewahi
kushiriki katika filamuinaitwa ''I Am Legend''.




Kiukweli Wadau wengi kuanzia huko barani America na Duniani kote kwa ujumla wanaizimia
sana familia hii , ni mfano wa kuigwa huko marekani
na hata hapa kwetu, nawatakia maisha bomba  na marefu pia.



Hata hapa nchini Tanzania taswira ya wasanii wa vichekesho ilianza  kupata
mtazamo chanya , baada ya kundi maarufu la Ze Commedy kuonesha kufikia
mafanikio mengine tofauti na mtazamo hasi wa hapo awali tasnia ya vichekesho
ilikuwa aijafikirika kama wanaweza kuwa watu wenye kupata heshima kama
walivyoanza kupewa heshima kubwa ya mtazamo chanya mfano wa kundi la
Zecommedy ambalo lionaonesha kuwa nuru ya mafanikio kwa wachekeshaji wachanga
kupata mvuto wa kufikia mafanikio kwa siku za usoni.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...