Skip to main content

Mafanikio yenye mvuto kwa wasanii wa Vichekesho Bongo kutoka kwa WILL SMITH ambaye ni mme wa JADA PINKETT SMITH .

Will Smith ambaye alizaliwa September 25, 1968, ambaye aliwahi kuwa  muigizaji wa
kipindi cha The fresh Prince ,akiwa mchekeshaji mbali na fani hiyo alikuwa
pia rapper mwenye mvuto maarufu sana nchini marekani.


Mnamo mwaka 1992 alimuoa Sheree Zampino walifanikiwa kupata mtoto mmoja Trey
Smith ambaye ni mcheza Basket maarufu nchini marekani. Wadau mtakuwa mnajua vema
inshu hii kwani jamaa  aliachana na Sheree mnamo mwaka 1995.

Na baadaye alifanikiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na na kuhamua kuoana na Jada
Pinket mnamo mwaka 1997 na katika ndoa yao wamefanikiwa
kupata watoto wawili ambao ni Jaden Smith na Willow Smith ambao nao wanachanja
mbuga katika  fani walizorithi kwa wazazi wao.

Jaden Smith amezaliwa July 8, 1998 ni mcheza filamu mzuri tuu anayechipukia na
filamu alocheza ni ''karate kid'' wadau mnaohusudu fani ya ucheshi , kama
utaikumbuka mdau au kama hujaiona itafute .

Ni kati ya  sinema nzuri sana akiwa sambamba na Jackie Chan.
Willow Smith alizaliwa October 31, 2000 ,mwenye umri wa miaka 11 hadi mnamo mwezi
wa 10/2012 anatimiza 12, ameonesha kipaji chake cha kuimba na  ni mwanamuziki
anayechipukia ambae alishatoa ngoma ikapokelewa poa sana, na ata hapa Bongo
ilipokelewa poa ikiitwa jina la  ''whip my hair''na pia amewahi
kushiriki katika filamuinaitwa ''I Am Legend''.




Kiukweli Wadau wengi kuanzia huko barani America na Duniani kote kwa ujumla wanaizimia
sana familia hii , ni mfano wa kuigwa huko marekani
na hata hapa kwetu, nawatakia maisha bomba  na marefu pia.



Hata hapa nchini Tanzania taswira ya wasanii wa vichekesho ilianza  kupata
mtazamo chanya , baada ya kundi maarufu la Ze Commedy kuonesha kufikia
mafanikio mengine tofauti na mtazamo hasi wa hapo awali tasnia ya vichekesho
ilikuwa aijafikirika kama wanaweza kuwa watu wenye kupata heshima kama
walivyoanza kupewa heshima kubwa ya mtazamo chanya mfano wa kundi la
Zecommedy ambalo lionaonesha kuwa nuru ya mafanikio kwa wachekeshaji wachanga
kupata mvuto wa kufikia mafanikio kwa siku za usoni.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.