Skip to main content

Magavana nchini Kenya wakubali idadi inayopaswa kupata kazi ili kupunguza mvutano wa ukoo


Na Bosire Boniface, Garissa
Wakati Kenya inaanza kujiondoa katika utawala wa serikali kuu, magavana watatu kutoka kaskazini mashariki wanasema wanapanga kupunguza mivutano miongoni mwa koo kwa kutumia sera sawa ya ajira kwa kazi za utumishi wa umma.
Viongozi kadhaa wa jimbo wanasema kuwa watatumia mfumo wa kiasi ambacho kila kundi linapaswa kupata ili kujaza nafasi za utumishi wa umma. Juu, Wananchi wa Kenya wakisubiri katika foleni mjini Nairobi. [Na Will Boase/AFP]
"Serikali shirikishi ni muhimu katika kuondoa wimbi la vurugu za kikabila ambazo zimezuia maendeleo katika mkoa huo," alisema Ali Ibrahim Roba, gavana mpya mteule wa Kata ya Mandera.
Roba alisema atajaribu kubadilisha tabia iliyoshikiliwa muda mrefu ambapo viongozi wa mkoa waliwapendelea watu wa koo zao kwa nafasi za utumishi wa umma katika tawala zao. Zoezi kama hilo huwatenga watu kutoka koo nyingine, jambo linalosababisha kuzuka kwa upinzani wa vurugu, alisema.
"Sasa, tutaongozwa na katiba ambayo inaelezea kuwa jimbo linapaswa kuzizingatia jamii zote na makundi mahsusi katika kuajiri na kugawana rasilimali," aliiambia Sabahi, na kuelezea kuwa Kata ya Mandera ina koo tatu kuu na kiasi cha koo saba ndogondogo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.