Skip to main content

Viongozi wa dini Tanzania wataka uvumilivu baada ya ghasia ya kidini


Na Deodatus Balile, Dar es Salaam
Viongozi wa dini nchini Tanzania wamelaani wimbi lililoibuka hivi karibuni la machafuko yanayotokana na tofauti za kiimani kati ya Wakristo na Waislamu ambayo tayari yameshasababisha vifo vya viongozi watatu katika kipindi cha mwezi Februari, na kuapa kuzirejesha jamii hizi mbili katika hali ya kawaida.
Baadhi za viongozi hao wanasema kuwa mahubiri yanayotelewa bila kuwa na kibali husika kwenye makanisa na misikiti ndio kiini cha hali ya mtafaruku inayoendelea sasa. Juu, wanaume wakifanya ibada msikitini jijini Dar es Salaam. [Na Mwanzo Millinga/AFP]
Tarehe 11 Februari, mzozo kati ya wafuasi wa dini hizo mbili juu ya nani anafaa kuchinja nyama ulisababisha kifo cha mchungaji Mathayo Machila aliyekuwa na umri wa miaka 45 na kusababisha wananchi wengine kujeruhiwa. Tangu wakati huo serikali imeanzisha kamati ya viongozi wa dini kwa lengo la kurejerea sheria za kiimani kuhusu kuchinja mifugo mbalimbali kwa ajili ya nyama.
Visiwani Zanzibar, Mchungaji Evarist Mushi aliuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana nje ya kanisa lake tarehe 17 Februari, wakati pia tarehe 23 Februari Sheikh Ali Khamis Ali, 65, aliuawa na watu wasiojulikana kwenye shamba lake la minazi.
Mauwaji hayo ya mwezi Februari ni mwendelezo wa matukio yaliyoanza mwaka uliopita. Katika sherehe za Krismasi, watu waliokuwa na silaha walimshambulia kwa risasi Mchungaji Ambrose Mkenda wakati alipokuwa njiani akirejea nyumbani, na mwezi Novemba watu wasiojulikana walimshambulia kwa kumwagia tindikali Sheikh Fadhil Soraga.
Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Bin Shaaban Simba, amesema kuwa nchi inatakiwa kuhamasisha uvumilivu wa kidini.
"Tumekuwa tukivumiliana kwa muda mrefu lakini sasa uvumilivu huo umekwenda wapi?" aliiambia Sabahi. "Serikali, viongozi wa dini na wanasiasa wanapaswa kuhubiri amani, upendo na utulivu."

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...