Skip to main content

Viongozi wa dini Tanzania wataka uvumilivu baada ya ghasia ya kidini


Na Deodatus Balile, Dar es Salaam
Viongozi wa dini nchini Tanzania wamelaani wimbi lililoibuka hivi karibuni la machafuko yanayotokana na tofauti za kiimani kati ya Wakristo na Waislamu ambayo tayari yameshasababisha vifo vya viongozi watatu katika kipindi cha mwezi Februari, na kuapa kuzirejesha jamii hizi mbili katika hali ya kawaida.
Baadhi za viongozi hao wanasema kuwa mahubiri yanayotelewa bila kuwa na kibali husika kwenye makanisa na misikiti ndio kiini cha hali ya mtafaruku inayoendelea sasa. Juu, wanaume wakifanya ibada msikitini jijini Dar es Salaam. [Na Mwanzo Millinga/AFP]
Tarehe 11 Februari, mzozo kati ya wafuasi wa dini hizo mbili juu ya nani anafaa kuchinja nyama ulisababisha kifo cha mchungaji Mathayo Machila aliyekuwa na umri wa miaka 45 na kusababisha wananchi wengine kujeruhiwa. Tangu wakati huo serikali imeanzisha kamati ya viongozi wa dini kwa lengo la kurejerea sheria za kiimani kuhusu kuchinja mifugo mbalimbali kwa ajili ya nyama.
Visiwani Zanzibar, Mchungaji Evarist Mushi aliuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana nje ya kanisa lake tarehe 17 Februari, wakati pia tarehe 23 Februari Sheikh Ali Khamis Ali, 65, aliuawa na watu wasiojulikana kwenye shamba lake la minazi.
Mauwaji hayo ya mwezi Februari ni mwendelezo wa matukio yaliyoanza mwaka uliopita. Katika sherehe za Krismasi, watu waliokuwa na silaha walimshambulia kwa risasi Mchungaji Ambrose Mkenda wakati alipokuwa njiani akirejea nyumbani, na mwezi Novemba watu wasiojulikana walimshambulia kwa kumwagia tindikali Sheikh Fadhil Soraga.
Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Bin Shaaban Simba, amesema kuwa nchi inatakiwa kuhamasisha uvumilivu wa kidini.
"Tumekuwa tukivumiliana kwa muda mrefu lakini sasa uvumilivu huo umekwenda wapi?" aliiambia Sabahi. "Serikali, viongozi wa dini na wanasiasa wanapaswa kuhubiri amani, upendo na utulivu."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...