Skip to main content

Viongozi wa dini Tanzania wataka uvumilivu baada ya ghasia ya kidini


Na Deodatus Balile, Dar es Salaam
Viongozi wa dini nchini Tanzania wamelaani wimbi lililoibuka hivi karibuni la machafuko yanayotokana na tofauti za kiimani kati ya Wakristo na Waislamu ambayo tayari yameshasababisha vifo vya viongozi watatu katika kipindi cha mwezi Februari, na kuapa kuzirejesha jamii hizi mbili katika hali ya kawaida.
Baadhi za viongozi hao wanasema kuwa mahubiri yanayotelewa bila kuwa na kibali husika kwenye makanisa na misikiti ndio kiini cha hali ya mtafaruku inayoendelea sasa. Juu, wanaume wakifanya ibada msikitini jijini Dar es Salaam. [Na Mwanzo Millinga/AFP]
Tarehe 11 Februari, mzozo kati ya wafuasi wa dini hizo mbili juu ya nani anafaa kuchinja nyama ulisababisha kifo cha mchungaji Mathayo Machila aliyekuwa na umri wa miaka 45 na kusababisha wananchi wengine kujeruhiwa. Tangu wakati huo serikali imeanzisha kamati ya viongozi wa dini kwa lengo la kurejerea sheria za kiimani kuhusu kuchinja mifugo mbalimbali kwa ajili ya nyama.
Visiwani Zanzibar, Mchungaji Evarist Mushi aliuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana nje ya kanisa lake tarehe 17 Februari, wakati pia tarehe 23 Februari Sheikh Ali Khamis Ali, 65, aliuawa na watu wasiojulikana kwenye shamba lake la minazi.
Mauwaji hayo ya mwezi Februari ni mwendelezo wa matukio yaliyoanza mwaka uliopita. Katika sherehe za Krismasi, watu waliokuwa na silaha walimshambulia kwa risasi Mchungaji Ambrose Mkenda wakati alipokuwa njiani akirejea nyumbani, na mwezi Novemba watu wasiojulikana walimshambulia kwa kumwagia tindikali Sheikh Fadhil Soraga.
Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Bin Shaaban Simba, amesema kuwa nchi inatakiwa kuhamasisha uvumilivu wa kidini.
"Tumekuwa tukivumiliana kwa muda mrefu lakini sasa uvumilivu huo umekwenda wapi?" aliiambia Sabahi. "Serikali, viongozi wa dini na wanasiasa wanapaswa kuhubiri amani, upendo na utulivu."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.