Skip to main content

ICC kutathmini kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta


Uhuru Kenyatta mmoja kati ya watuhumiwa wa ghasia baada ya uchaguzi mwaka 2007.
Mahakama ya ICC wanatarajiwa kuwa na kikao kutathmini athari ya kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta.
Mjini The Hague Uholanzi leo alasiri mahakama ya ICC inatarajiwa kufanya kikao maalum kilichoitishwa na majaji kutathimini athari zinazoweza kuonekana katika kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta ambaye ni mmoja kati ya watuhumiwa wa kesi ya ghasia za baada ya uchaguzi wa kenya mwaka 2007, baada ya mwendesha mashataka mkuu wa mahakama hiyo wiki iliyopita kutangaza uamuzi wa kuibwaga kesi dhidi ya mtuhumiwa mwengine katika kesi hiyo aliyekuwa mtumishi wa umma Francis Muthaura.
Leo mawakili wa rais mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta wanategema kuitia msukumo pia mahakama hiyo kuitupilia mbali kesi dhidi ya mteja wao. Hata hivyo kumekuwa na maswali mengi juu ya jinsi mahaka hiyo inavyoiendesha kesi hiyo,hasa kutokana na suala la ushahidi katika upande wa mwendesha mashataka wa mahakama hiyo.
Nimezungumza na mwanasehria wa Kimataifa kutoka London Gordon Mwikira juu ya suala hili na kwanza anatoa tathmini yake juu ya kesi hiyo ilivyo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.