Skip to main content

Somalia yaondolewa vikwazo vya ununuzi wa silaha


Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud
Reuters/Tiksa Negeri
Na Flora Martin Mwano
Baraza la usalama la umoja wa Mataifa UNSC limeondoa vikwazo vya biashara ya silaha dhidi ya Taifa la Somalia kwa kipindi cha mwaka mmoja ili kuweza kuisaidia Serikali ya Somalia katika kupambana na Wanamgambo wa Kiisalmu wanaokabiliana na serikali hiyo.
Nchi wanachama 15 wa Baraza la usalama kwa pamoja walipitisha azimio la kuruhusu silaha nyepesi kuuzwa kwa vikosi vya kijeshi nchini Somalia wakati huu ambapo wanapambana kuilinda Mamlaka ya Somalia dhidi ya kundi la wanamgambo la al Shabaab lenye uhusiano mtandao wa kigaidi duniani wa Al Qaeda.
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mahmoud aliyechukua madaraka ya nchi hiyo mwezi Septemba mwaka jana amekuwa akishinikiza Baraza la Usalama kuondoa vikwazo vya biashara ya Silaha kwa nchi hiyo.
Mohamud amepokea kwa mikono miwili hatua ya umoja wa Mataifa akisema kuwa inaashiria kuimarika kwa hali ya kisiasa nchini Somalia na kutasaidia wanajeshi wake ambao mara kadhaa wamekuwa wakikabiliwa na uhaba wa silaha pale wanapopambana wa wapiganaji wa Al Shabaab.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...