Skip to main content

Somalia yaondolewa vikwazo vya ununuzi wa silaha


Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud
Reuters/Tiksa Negeri
Na Flora Martin Mwano
Baraza la usalama la umoja wa Mataifa UNSC limeondoa vikwazo vya biashara ya silaha dhidi ya Taifa la Somalia kwa kipindi cha mwaka mmoja ili kuweza kuisaidia Serikali ya Somalia katika kupambana na Wanamgambo wa Kiisalmu wanaokabiliana na serikali hiyo.
Nchi wanachama 15 wa Baraza la usalama kwa pamoja walipitisha azimio la kuruhusu silaha nyepesi kuuzwa kwa vikosi vya kijeshi nchini Somalia wakati huu ambapo wanapambana kuilinda Mamlaka ya Somalia dhidi ya kundi la wanamgambo la al Shabaab lenye uhusiano mtandao wa kigaidi duniani wa Al Qaeda.
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mahmoud aliyechukua madaraka ya nchi hiyo mwezi Septemba mwaka jana amekuwa akishinikiza Baraza la Usalama kuondoa vikwazo vya biashara ya Silaha kwa nchi hiyo.
Mohamud amepokea kwa mikono miwili hatua ya umoja wa Mataifa akisema kuwa inaashiria kuimarika kwa hali ya kisiasa nchini Somalia na kutasaidia wanajeshi wake ambao mara kadhaa wamekuwa wakikabiliwa na uhaba wa silaha pale wanapopambana wa wapiganaji wa Al Shabaab.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.