Skip to main content

NAIONA AFRIKA IKIINUKA TENA KIUCHUMI(2)



AfricaFlagMap a1bc4

Na: Albert Sanga, Iringa.
Mwaka 2001 nilihudhuria kongamano la kidini ambalo pamoja na mambo mengine lilijadili hali ya maendeleo ya Afrika. Kongamano hilo lilifanyika katika shule ya sekondari ya Bihawana iliyopo nje kidogo ya mji wa Dodoma. Mada iliyowasilishwa kuhusu Afrika ilikua na kichwa, "Je, Afrika imelaaniwa?".Mtoa mada mkuu alikua ni mzungu mmoja (mmishenari), ambaye aliamsha mjadala mkali kweli kweli mara baada ya kumaliza kuwasilisha hoja zake. Katika mjadala uliofuatia (baada ya mtoa hoja kumaliza) kulijitokeza makundi mawili baina ya wanakongamano; moja likisema na kuamini kua Afrika imelaaniwa na jingine likipinga kabisa laana ya Afrika. Upande uliokua ukisema Afrika imelaaniwa ulikua na hoja zenye nguvu kweli kweli na ulionekana kuuzidi ule upande uliopinga laana ya Afrika. Mmoja wa wachangiaji alisimama na kusema maneno yafuatayo, "Ndugu zangu mimi nawathibitishia kua Afrika tumelaaniwa na uthibitisho huu tunaupata kutoka kwenye Biblia katika Kumbukumbu la Torati 28: 15- 40. Biblia inasema kuwa...

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.