Skip to main content

Marekani yajiandaa kumsafirisha Bosco Ntaganda Hague


Na Victor Melkizedeck Abuso
Marekani inasema Ubalozi wake mjini Kigali nchini Rwanda unajiandaa kumsafirisha Jenerali Bosco Ntaganda aliyejisalimisha kwenye ubalozi wake na kwamba wana matumaini kupata ushirikiano toka kwa serikali ya Rwanda.
Bosco Ntaganda has been wanted by the ICC since 2006
Bosco Ntagannda
Bosco Ntaganda aliishangaza dunia juma hili baada ya kujisalimisha mwenyewe kwenye ubalozi wa Marekani nchini Rwanda akitaka msaada wa kufikishwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC.
Msemaji wa kundi la M 23 linalowakilishwa na Askofu Jean Marie Runiga, Salomon Baravuga amesema kiongozi wake ndiye aliyemshawishi Ntaganda kujisalimisha huku akikanusha kundi lake kuwa na uhusiano na kiongozi huyo.
Kwa upande mwingine msemaji wa kisiasa wa kundi la M23 linaloongozwa na Sultan makenga, Betrand Bisimwa ameendelea kusisitiza kuwa Runiga na kundi lake walikuwa na uhusiano wa karibu na Ntaganda waliyetaka arejee katika kundi lao.
Rais Joseph Kabila ameendelea kukutana na viongozi mbalimbali nchini humo kujadili hali ya amani Mashariki mwa nchi hiyo huku baada ya Ntaganda kujisalimisha.
Ntaganda anatuhumiwa kuongoza makundi kadhaa ya uasi Mashariki mwa nchi hiyo kabla ya kupewa cheo katika jeshi la serikali kaa njiamojawapo ya kuleta amani Mashariki mwa nchi hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.