Skip to main content

MSOME AFANDE SELE





MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Selemani Msindi 'Afande Sele' amegeuka muhubiri wa amani nchini baada ya kuibuka na kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la Dini tumeletewa.

Katika kibao chake hicho, Sele anazungumzia umuhimu wa Watanzania kuheshimiana licha ya kila mtu kuwa na dini yake, kabila lake na imani yake.

Akizungumza kwa njia ya simu wiki hii kutoka Morogoro, Sele alisema watanzania wanapaswa kuishi kwa amani na upendo kwa sababu dini ni kitu kilicholetwa na wageni kutoka nje.

Alisema tangu enzi na enzi, upendo, umoja na ushirikiano ndiyo dini ya watanzania hivyo wanapaswa kuiendeleza.

"Kabla ya ukoloni, wazee wetu waliishi kwa upendo, hawakuwa na dini, walisali popote na Mungu aliitikia sala zao. Walimwamini Mungu ndio kama ulimwengu, hakukuwa na kanisa wala msikiti, "alisema Sele.

"Walisali sala zao kwa miungu yao, dua zao silisikika kabla ya mwaka kumalizika, mvua kubwa ilinyesha hata kama sio masika,"aliongeza msanii huyo, ambaye aliwahi kutwaa taji la mfalme wa mashairi.

"Miaka inavyokwenda, dini zinaongezeka, nyingine toka mashariki ya mbali. Yule anajiona sahihi kuliko mwingine. Wenyewe kwa wenyewe tunaitana makafiri, dini zinasababisha ndugu kwa ndugu tunauana, ndugu wa baba na mama tunauana, kisa yule anaitwa Salehe mwingine Willy, Waafrika tunaonekana hatuna amani,"alisema msanii huyo.

Afande Sele alisema siku zote Mungu ni yule yule, isipokuwa majina ya wanaomwabudu ndiyo yanayotofautiana, ambapo kuna wengine wanaomwita Jah, Allah, Maulana, subhana na Jehova.

Alisema iwapo wazungu wasingekuja barani Afrika kutangaza dini zao, waafrika wote wangeitwa wapagani kwa sababu wasingekuwa na dini zaidi ya kuabudu dini zao za asili.

Msanii huyo alijifananisha na Nabii Suleiman na kudai kuwa, ameletwa nchini kwa ajili ya kuhubiri amani hivyo aliwataka watanzania kuwa makini katika kipindi hiki, ambacho zimeanza kujitokeza chokochoko za kidini.

Afande Sele alisema kibao cha Dini tumeletewa ni miongoni mwa vibao sita vitakavyokuwemo kwenye albamu yake mpya, anayotarajia kuitoa hivi karibuni. Alisema albamu hiyo itajulikana kwa jina la wimbo huo.

Afande Sele alisema licha ya mauzo ya albamu kwa wasanii nchini kwa sasa kusuasua, hatajali mauzo ya albamu yake hiyo mpya yatakuwaje.

"Lengo langu ni kuielimisha jamii, sio kupata maslahi. Sitofikiria soko kama litalipa au vipi, ninachohitaji ni kuwapa elimu watanzania,"alisema msanii huyo aliyetengeneza nywele zake kwa mtindo wa rasta.

Msanii huyo amewahi kurekodi vibao vingi, ambavyo vilimpatia sifa na umaarufu kutokana na ujumbe wake kugusa maisha ya kila siku ya jamii.

Baadhi ya vibao hivyo ni Mkuki moyoni, Kama nikipata ukimwi, Ndugu zangu, Mtu na pesa, Darubini kali, Malaria na nafasi ya mtu.

Mapema mwaka jana, Afande Sele alidokeza kuwa anatarajia kugombea mojawapo ya nafasi kubwa za kisiasa katika uchaguzi mkuu wa 2015. Japokuwa hakutaka kuitaja nafasi hiyo, lakini kuna habari kuwa amepanga kuwania ubunge.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.