Skip to main content

MSOME AFANDE SELE





MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Selemani Msindi 'Afande Sele' amegeuka muhubiri wa amani nchini baada ya kuibuka na kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la Dini tumeletewa.

Katika kibao chake hicho, Sele anazungumzia umuhimu wa Watanzania kuheshimiana licha ya kila mtu kuwa na dini yake, kabila lake na imani yake.

Akizungumza kwa njia ya simu wiki hii kutoka Morogoro, Sele alisema watanzania wanapaswa kuishi kwa amani na upendo kwa sababu dini ni kitu kilicholetwa na wageni kutoka nje.

Alisema tangu enzi na enzi, upendo, umoja na ushirikiano ndiyo dini ya watanzania hivyo wanapaswa kuiendeleza.

"Kabla ya ukoloni, wazee wetu waliishi kwa upendo, hawakuwa na dini, walisali popote na Mungu aliitikia sala zao. Walimwamini Mungu ndio kama ulimwengu, hakukuwa na kanisa wala msikiti, "alisema Sele.

"Walisali sala zao kwa miungu yao, dua zao silisikika kabla ya mwaka kumalizika, mvua kubwa ilinyesha hata kama sio masika,"aliongeza msanii huyo, ambaye aliwahi kutwaa taji la mfalme wa mashairi.

"Miaka inavyokwenda, dini zinaongezeka, nyingine toka mashariki ya mbali. Yule anajiona sahihi kuliko mwingine. Wenyewe kwa wenyewe tunaitana makafiri, dini zinasababisha ndugu kwa ndugu tunauana, ndugu wa baba na mama tunauana, kisa yule anaitwa Salehe mwingine Willy, Waafrika tunaonekana hatuna amani,"alisema msanii huyo.

Afande Sele alisema siku zote Mungu ni yule yule, isipokuwa majina ya wanaomwabudu ndiyo yanayotofautiana, ambapo kuna wengine wanaomwita Jah, Allah, Maulana, subhana na Jehova.

Alisema iwapo wazungu wasingekuja barani Afrika kutangaza dini zao, waafrika wote wangeitwa wapagani kwa sababu wasingekuwa na dini zaidi ya kuabudu dini zao za asili.

Msanii huyo alijifananisha na Nabii Suleiman na kudai kuwa, ameletwa nchini kwa ajili ya kuhubiri amani hivyo aliwataka watanzania kuwa makini katika kipindi hiki, ambacho zimeanza kujitokeza chokochoko za kidini.

Afande Sele alisema kibao cha Dini tumeletewa ni miongoni mwa vibao sita vitakavyokuwemo kwenye albamu yake mpya, anayotarajia kuitoa hivi karibuni. Alisema albamu hiyo itajulikana kwa jina la wimbo huo.

Afande Sele alisema licha ya mauzo ya albamu kwa wasanii nchini kwa sasa kusuasua, hatajali mauzo ya albamu yake hiyo mpya yatakuwaje.

"Lengo langu ni kuielimisha jamii, sio kupata maslahi. Sitofikiria soko kama litalipa au vipi, ninachohitaji ni kuwapa elimu watanzania,"alisema msanii huyo aliyetengeneza nywele zake kwa mtindo wa rasta.

Msanii huyo amewahi kurekodi vibao vingi, ambavyo vilimpatia sifa na umaarufu kutokana na ujumbe wake kugusa maisha ya kila siku ya jamii.

Baadhi ya vibao hivyo ni Mkuki moyoni, Kama nikipata ukimwi, Ndugu zangu, Mtu na pesa, Darubini kali, Malaria na nafasi ya mtu.

Mapema mwaka jana, Afande Sele alidokeza kuwa anatarajia kugombea mojawapo ya nafasi kubwa za kisiasa katika uchaguzi mkuu wa 2015. Japokuwa hakutaka kuitaja nafasi hiyo, lakini kuna habari kuwa amepanga kuwania ubunge.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...