Skip to main content

Kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke Duniani





Na Anna Nkinda – Magu
Kina mama Wajasiliamali nchini wametakiwa kuongeza ubunifu katika vikundi vyao ikiwa ni pamoja na kutengeneza bidhaa bora zaidi ambazo zitakidhi kiwango cha kimataifa na hivyo kuwa na soko la uhakika la ndani na nje ya nchi.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wajasiliamali wa mkoa wa Mwanza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke Duniani zilizofanyika katika kituo cha utamaduni Bujora wilayani Magu.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) pia aliwataka wanawake hao wajasiriamali kutengeneza mazingira mazuri ya kufanyia kazi na kutafuta masoko ya bidhaa zao hasa mayai na vyakula ambayo yanapatikana kirahisi katika mkoa wa Mwanza na mikoa jirani.
Aliendelea kusema kuwa hivi sasa kina mama wengi wanaungana na kufanya kazi kwa pamoja katika vikundi vya ujasiriamali hii ni ishara kuwa kila mwanamke anashauku ya kufanya kazi ya maendeleo bila ya kutegemea msaada wa mwanaume.
Mama Kikwete alisema, “Ninawashukuru kwa kazi njema mnazozifanya na ninapenda kuwahakikishia kuwa niko nanyi katika mihangaiko na juhudii zenu zote. Nitajitahidi niwezavyo na kadri Mungu atakavyonijalia kuwawezesha katika elimu ya ujasiriamali kupitia taasisi ya WAMA kila itakapowezekana”.
Mwenyekiti huyo wa WAMA alisisitiza kuwa juhudi za ukombozi wa mwanamke zilianza zamani na mtu mmojammoja. Lakini kwa sasa juhudi hizi zinapaswa kuenziwa kwa mshikamo na kuwa wamoja zaidi ili kila mtu kwa nafasi yake aweze kumkomboa mwanamke kielimu na kiuchumi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...