Skip to main content

Kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke Duniani





Na Anna Nkinda – Magu
Kina mama Wajasiliamali nchini wametakiwa kuongeza ubunifu katika vikundi vyao ikiwa ni pamoja na kutengeneza bidhaa bora zaidi ambazo zitakidhi kiwango cha kimataifa na hivyo kuwa na soko la uhakika la ndani na nje ya nchi.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wajasiliamali wa mkoa wa Mwanza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke Duniani zilizofanyika katika kituo cha utamaduni Bujora wilayani Magu.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) pia aliwataka wanawake hao wajasiriamali kutengeneza mazingira mazuri ya kufanyia kazi na kutafuta masoko ya bidhaa zao hasa mayai na vyakula ambayo yanapatikana kirahisi katika mkoa wa Mwanza na mikoa jirani.
Aliendelea kusema kuwa hivi sasa kina mama wengi wanaungana na kufanya kazi kwa pamoja katika vikundi vya ujasiriamali hii ni ishara kuwa kila mwanamke anashauku ya kufanya kazi ya maendeleo bila ya kutegemea msaada wa mwanaume.
Mama Kikwete alisema, “Ninawashukuru kwa kazi njema mnazozifanya na ninapenda kuwahakikishia kuwa niko nanyi katika mihangaiko na juhudii zenu zote. Nitajitahidi niwezavyo na kadri Mungu atakavyonijalia kuwawezesha katika elimu ya ujasiriamali kupitia taasisi ya WAMA kila itakapowezekana”.
Mwenyekiti huyo wa WAMA alisisitiza kuwa juhudi za ukombozi wa mwanamke zilianza zamani na mtu mmojammoja. Lakini kwa sasa juhudi hizi zinapaswa kuenziwa kwa mshikamo na kuwa wamoja zaidi ili kila mtu kwa nafasi yake aweze kumkomboa mwanamke kielimu na kiuchumi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.