Skip to main content

Kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke Duniani





Na Anna Nkinda – Magu
Kina mama Wajasiliamali nchini wametakiwa kuongeza ubunifu katika vikundi vyao ikiwa ni pamoja na kutengeneza bidhaa bora zaidi ambazo zitakidhi kiwango cha kimataifa na hivyo kuwa na soko la uhakika la ndani na nje ya nchi.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wajasiliamali wa mkoa wa Mwanza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke Duniani zilizofanyika katika kituo cha utamaduni Bujora wilayani Magu.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) pia aliwataka wanawake hao wajasiriamali kutengeneza mazingira mazuri ya kufanyia kazi na kutafuta masoko ya bidhaa zao hasa mayai na vyakula ambayo yanapatikana kirahisi katika mkoa wa Mwanza na mikoa jirani.
Aliendelea kusema kuwa hivi sasa kina mama wengi wanaungana na kufanya kazi kwa pamoja katika vikundi vya ujasiriamali hii ni ishara kuwa kila mwanamke anashauku ya kufanya kazi ya maendeleo bila ya kutegemea msaada wa mwanaume.
Mama Kikwete alisema, “Ninawashukuru kwa kazi njema mnazozifanya na ninapenda kuwahakikishia kuwa niko nanyi katika mihangaiko na juhudii zenu zote. Nitajitahidi niwezavyo na kadri Mungu atakavyonijalia kuwawezesha katika elimu ya ujasiriamali kupitia taasisi ya WAMA kila itakapowezekana”.
Mwenyekiti huyo wa WAMA alisisitiza kuwa juhudi za ukombozi wa mwanamke zilianza zamani na mtu mmojammoja. Lakini kwa sasa juhudi hizi zinapaswa kuenziwa kwa mshikamo na kuwa wamoja zaidi ili kila mtu kwa nafasi yake aweze kumkomboa mwanamke kielimu na kiuchumi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...